Huu mpango upo tangia mwaka 2016 kulijadiliwa katika kuunda mkoa mpya ukijumuisha wilaya ya UKELEWE, MWIBARA(Kutoka wilaya ya BUNDA) na MAJITA (kutoka MUSOMA vijinini)
Ukiangalia jografia kwa umbali kiuduma visiwa vya kweru,irugwa kwiregi viko karibu na MUSOMA kuliko Mwanza hata hivyo umbali kutoka Nansio to bunda to Musoma ni karibu unapo linganisha umbali wa nansio to Mwanza
Pia mausiano ya kijamii ukelewe inaundwa na jamii ya wakelewe ambao hawa wana muingiliano wa karibu na jamii ya wajita ambao wanao patikana kwa wingi Mwibara (bunda D.C.) na Musoma vijijini (majita). Lugha zao, mila na shughuli zao zinafanana
Pia ikumbukwe kipindi cha jamii za kifalume kabula ya uhuru ukelewe ilikuwa inatawaliwa na mfalme mmoja ambae alimiliki eneo la ukelewe na eneo la MWIBARA lote
Lakini alakati za kuunda mkoa bado unaendelea ndio maana kwa musoma walianzisha halimashauri ya wilaya ya Musoma vijijini na makao makuu kuwekwa MULANGI na pia kwa wilaya ya BUNDA wakaanzisha halimashauri ya wilaya ya BUNDA ambayo makao makuu wakaweka KIBARA Lakini tiali kuna vikao vilisha kaa rasimi kupitisha wilaya mpya ya MWIBARA kutoka bunda.
Hivyo kuna hiyo proposal ya kuanzisha mkoa utakao jumuisha UKELEWE, MWIBARA, MAJITA na BUNDA.