Je, tuanze safari kwenda Galaxy zingine kimakazi zaidi..?

lakini pia mkuu ni kwamba speed ya wormhole ni sawa sawa na speed ya object( matter) in black holes..

Ndo mana wataalamu wanasema kuwa blackholes sometimes are wormholes bila sisi kujua...

manake nini..

speed ya matter kwenye black holes ni unmeasurable...

kama speed kwenye black holes ni kubwa kuzidi hata speed ya mwanga ,

kwa hiyo through wormhole nadhani itakuwa poa snaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina hakika kama kweli inatumika labda nirudi kwenye vyanzo vyangu kidogo kuing'amua hiyo siri ya matumizi ya hiyo teknolojia.
Nimebanwa na majukumu hapa alafu pia natumia simu kutype. Ila naomba ujiridhishe mwenyewe kwa kutembelea interstellar science "Is wormhole travel possible?" in www.space.com au just Google the word.
Naimani baadae tutakuwa na mengi ya kushirikishana. Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu hebu ufafanuz wa kina juu ya wormhole tafadhali inafanyaje kazi itawezaje kuwezezesha mambo yanayoonekana kutowezekana kwa sasa? ahsante
 
mkuu...naamini siku moja itafahamika tu japo inaonekana kama siri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
exotic matters ni nini kwasabab umeanzisha mada basi vitu kama hivi sio mbaya kuvifafanua pia mkuu ili twende sambamba

mkuu,exotic matter ni vitu ambavyo vinadeviate kwente principle za matter..

yani ni vitu ambavyo vinapoteza sifa ya kuwa matter..

kwamba ili kitu kiwe exotic ni lazima kiwe na sifa tofauti na matter..

make tunasema matter imeundwa na protons,neutrons na electrons..

sasa tunaposema Exotic materials ni vitu ambavyo vina sifa za anti matter( sifa ambazo haziocupy matter properties)

kwa hiyo kwa kuwa tutakuwa tumetengeneza Anti matter hivyo itakuwa rahis kuconstruct wormholes ambazo zitakuwa na speed kama ya black holes..

hivyo kufanya ipite kwenye anga za mbali kwa urahisi mkubwa bila kuwa affected na space time relationship..

ndo mana CERN PROJECT ajenda yao kubwa ni kutengeneza chembe chembe ( anti matter) au exotic materials ambayo ndo itakuwa moja wapo ya kutengeneza artificial wormholes..


hiyo picha inakuonesha kuwa kupitia hizo wormholes tutakuwa na uwezo wa kumove kutoka galaxy moja hadi nyingime ndani ya masaaa kadhaaa tu ...

Hizo ni galaxy mbili tofauti kwenye hiyo picha ila kuna connection( wormhole) ambayo inafanya vitu vimove kwa speed kubwa kuliko ya mwanga..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
shukran kwa elimu hii. unadhan binadamu ambaye kiuhalisia ni matter anaweza kuja kuwekwa ktk state ya ant matter ili aendane na hiyo technology? au yeye atatuma tu vifaa n.k kwa ajili ya uchunguzi
 
shukran kwa elimu hii. unadhan binadamu ambaye kiuhalisia ni matter anaweza kuja kuwekwa ktk state ya ant matter ili aendane na hiyo technology? au yeye atatuma tu vifaa n.k kwa ajili ya uchunguzi
mkuu binadamu kama binadamu ni ngumu kupita kwa speed kubwa zaidi ya mwanga katika anga la steller kwa sababu yeye ni matter object ila kifaa kama kifaaa kinapita..

hatumanishi zile wormhole zitakuwa ni vifaaa kama ndege au space ship kama tunavodhani..hapana..

Wormhole ni concentric shaped magnetic field surounded by exotic( Anti matter) particles ambazo zitakuwq zinaspin with maximum force na kufanya zimove kwa speed kubwa saana..

kwa hiyo kitu chochote kitakachowekwa katikati ya fields hizo kitabebwa bila kujijua na kufikiswa sehemu husika kikiwa unconcious or concious state..

ni speed kubwa sana but wanajua wao jinsi gani ubongo wako wataufanya usiwe aware na tukio hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tuingie kwenye utani.

naona wamefanya mambo yawe complicated tungewaenzi mababu na teknolojia yao nadhani tungefika mbali ikiwa mtu unafumba na kufumbua upo dar ukitokea kigoma maana yake ni kwamba ukifumba mara tano na kufumbua mara tano kwa speed ya kawaida unakua umemaliza bara moja sasa fikiria ufumbe kwa speed ya jicho lililo ppulizwa na upepo wenye vumbi kufiki kwenye mwezi si kugusa tu?
joke
 
kuna mipaka yake...

kwa atmosphere ya hapa duniani inawezekana but when you enter into other sphere inakuwa ngumu,otherwise utajikuta umenasa sehemu..

kuna mipaka mikubwa sana juu ya uchawi( technolojia asilia) katika kuoperate..

ndo mana kmaa ingekuwa rahisi kama unavofikilia nadhani wachawi wote nangekuwa matajiri lakini kwanini ndo masikini wa kutupwa..??

jibu ni moja tu.,kutojua how to use your knowlege kupita ( across) boundaries of limitness..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
kweli mkuu. Afu unajua kuna mtu aliwah uliza endapo utatoboa dunia yetu hii ukapita matabaka yote utatokea wapi?

watu walijikanyaga kujibu na sidhani kama mada ile ilipata majibu.

unaweza kukuta tunahangaika kwenda juu kupitia anga hewa kumbe mambk ni kinyume chake yaani yawezekana mlango wa kufika huko ni kutoboa ardh na matabaka yake na kufikia hizo (molten materials kama zipo na kama wasemavyo wanasayansi) ukifika hapo vuuuuup upo kwenye galaxies nyingine.
naota
 
mkuu hebu ufafanuz wa kina juu ya wormhole tafadhali inafanyaje kazi itawezaje kuwezezesha mambo yanayoonekana kutowezekana kwa sasa? ahsante


hii ndo wormhole anti matter with high and stronger magnetic fields ..



wormhole inaunganisha au inakupitisha galaxy moja hadi nyingine bila kube affected na blackhole effects katika domain level..



Sent using Jamii Forums mobile app
 

The universe we live ina layers nyingi sana depending with awareness au knowlege ambayo umepata kuzielewa hizo layers
Arrangements ya hizo layers ziko katika parallel form..

kwa hiyo unaweza ukadhani dunia unayoishi ni hii hii kumbe ndani ya hii dunia kuna dunia nyingine au universe nyingine kabsaa..


Everthing you see is the reflection of you...your mental awareness construct the differences that exist.

your illusion will give you one universe( one world) but there is parallel universe in the universal awareness..
njia yoyote inaweze kukufikisha unapotaka ,but je utaweza kupita across limitness of boundaries..??
hapo ndo kazi inapoanzia..

so we live in many universes that exihibit parallel formation

pengine ndo mana tunashindwa kutofautisha kati ya Illusion and delusion.
tunashindwa kutoutisha kati ya illusion and Reality ..


Parallel universe inatufanya tuone boundaries nyingi sana ..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh shuleni hatuambiwi ukweli hata kama unajulikana
They lied to us, because we love lying
 
Duh shuleni hatuambiwi ukweli hata kama unajulikana
They lied to us, because we love lying
na pengi huenda kila universe ina kazi yake..

dunia tunayoishi hapa mimi na wew unayejibishana na mimi ni universe inayosupport soul in body form lakini pengime ukifa roho yako inatengana na mwili(body form) na kuingia universe au layer nyingine ya maisha..

pengine ndo mana mstali unaotenganisha universe hizi ni mdogo au mkubwa kulingana na uelewa wako juu ya hili na kupelekea mtu anapokufa kutokurudi hapa duniani ..

Pengine kila universe ina laws zake zinazogovern existance ya viumbe wowote wanapokuwa au kwenda kule..

Haya mambo ukitaka kuyajua inabidi uandae MAMILION YA GIGABYTES KWENYE UBONGO WAKO,ndo utayajua unless otherwise tuendelee kukalilishwa tu..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa mujib wa wanasayansi wansema kwmb ubongo unauwezo wa kuhifa kumbukumbu kuliko computer pamoja na kung'amua mambo
Mkuu niliamua kuku follow humu jf
I need a starting point
I want to know the reality
Coz kuna mambo nikifikiria na nikiunganisha dot naona there's something unusual
 
kabsaa mkuu...there is unusual event inayoendelea ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Theort tu hizo, Mungu muumba aliifanya dunia hii kwa ustadi sana kilaaaaa siku tunaambiwa dunia itagongana wee lakini hayatokei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…