Je,tendo la dhambi usiyo ijua ni dhambi ? .

mandella

JF-Expert Member
Oct 29, 2011
3,048
3,227
Tumekua na ukawaidia wa kusema ,
"Mtu unaweza Tenda dhambi bila kujua"
Dhambi hii inatokana na mazingira fulani ya kutenda jambo pasi kujua ni sahihi ama si sahihi , ni kweli ama si kweli, pamoja na kuhukumu mtu juu jambo fulani bila kujua ukweli kamilifu.

Je , dhambi zenye asili ya namna hiyo huhesabika kama dhambi. ?


Karibuni.
 
Infact ukristo una mapungufu makubwa kwenye misingi ya imani yake,kuanzia dhambi ya asili,utatu mtakatifu,mgawanyo wa maagano,namna ya kufuata mafundisho na mengine mengi,....concept ya dhambi ya asili hata uiwaze na kujaribu kuitetea vipi,bado ina mapungufu makubwa na haiko sawa
 
Infact ukristo una mapungufu makubwa kwenye misingi ya imani yake,kuanzia dhambi ya asili,utatu mtakatifu,mgawanyo wa maagano,namna ya kufuata mafundisho na mengine mengi,....concept ya dhambi ya asili hata uiwaze na kujaribu kuitetea vipi,bado ina mapungufu makubwa na haiko sawa
Nadhani kaka hujatoa jawabu

maneno kama haya ya kwako,huchochea mwisho wake kugeuka ulingo wa matusi na kebehi


usiwe wa kwanza kufungua mlango wa Fitna
 
Infact ukristo una mapungufu makubwa kwenye misingi ya imani yake,kuanzia dhambi ya asili,utatu mtakatifu,mgawanyo wa maagano,namna ya kufuata mafundisho na mengine mengi,....concept ya dhambi ya asili hata uiwaze na kujaribu kuitetea vipi,bado ina mapungufu makubwa na haiko sawa
Hoja Ipo kwenye Dini zote, ulizo langu halijalenga dini fulani, ni aibu ukija haoa kwa kuishutumu dini nyingine, ni vyema ungeandika bila kutaja dini.
 
Tumekua na ukawaidia wa kusema ,
"Mtu unaweza Tenda dhambi bila kujua"
Dhambi hii inatokana na mazingira fulani ya kutenda jambo pasi kujua ni sahihi ama si sahihi , ni kweli ama si kweli, pamoja na kuhukumu mtu juu jambo fulani bila kujua ukweli kamilifu.

Je , dhambi zenye asili ya namna hiyo huhesabika kama dhambi. ?


Karibuni.
Uislam katika kulizungumzia hili

Dhambi haitaepukika kuitwa dhambi,litakalobaki ni kuandikiwa tu kuwa ww umefanya dhambi ikiwa ni mjuzi juu ya dhambi hili

Na Ikiwa hujui kuwa ulitendalo ni dhambi,Basi hutoandikiwa dhambi mpaka pale utakapo pata elimu sahihi juu ya dhambi hili,baada ya hapo,iwapo utafanya tenda,ndio hukmu itakapokupitia juu yako
 
Tumekua na ukawaidia wa kusema ,
"Mtu unaweza Tenda dhambi bila kujua"
Dhambi hii inatokana na mazingira fulani ya kutenda jambo pasi kujua ni sahihi ama si sahihi , ni kweli ama si kweli, pamoja na kuhukumu mtu juu jambo fulani bila kujua ukweli kamilifu.

Je , dhambi zenye asili ya namna hiyo huhesabika kama dhambi. ?


Karibuni.

dhambi ya asili ndio dhambi gani hiyo? asili ya kabila, taifa au ukoo? manaake kuwa wote kweye hilo kabila, ukoo au taifa kama ni uzinzi wote ni wazinzi au vipi?
 
Lkn Bado Uislam,unakupa na kukulazima kusoma,hususan Dini yako
na ikiwa upo urahisi wa kusoma,ila kwa uvivu tu,ukawa hutaki kusoma,kisha ukawa ni mwenye kuyatenda madhambi hayo

Basi hapo huna udhuru kisheria
 
Infact ukristo una mapungufu makubwa kwenye misingi ya imani yake,kuanzia dhambi ya asili,utatu mtakatifu,mgawanyo wa maagano,namna ya kufuata mafundisho na mengine mengi,....concept ya dhambi ya asili hata uiwaze na kujaribu kuitetea vipi,bado ina mapungufu makubwa na haiko sawa
yaani hapa unaendelea kucement my opinion kuhusu hiyo dini yako unayoiita ya haki. yaani unaendelea kunithibitishia kuwa ni ya ubishi ubishi kwa kilemba ya kutafuta haki na hoja, dini ya kutoa makosa makosa ya wengine tu hata kama wanayo, na baya Zaidi, baya Zaidi unaendelea kunithibitishia kuwa ni dini ya kubishana na mwenyezi Mungu ST kwamba kwasababu kakupa kitabu chenye sharia zake kama sharia hizo umezitimiza basi hana ruhusa ya kushughulika na wewe namna nyingine Zaidi ya kukupa haki yako ya pepo. kwamba Mungu akiamua vingine utamshtaki mahali kuwa hakukutendea haki. Jitafakari. Jitafakarini mkazinyooshe njia zenu, asema Bwana.
 
Tumekua na ukawaidia wa kusema ,
"Mtu unaweza Tenda dhambi bila kujua"
Dhambi hii inatokana na mazingira fulani ya kutenda jambo pasi kujua ni sahihi ama si sahihi , ni kweli ama si kweli, pamoja na kuhukumu mtu juu jambo fulani bila kujua ukweli kamilifu.

Je , dhambi zenye asili ya namna hiyo huhesabika kama dhambi. ?
Karibuni.
Ukitenda dhambi usiyoijua kuwa ni dhambi utapigwa kidogo; Soma Luka 12:47-48

Luka 12:47 Na mtumwa yule aliyejua mapenzi ya bwana wake, asijiweke tayari, wala kuyatenda mapenzi yake, atapigwa sana. 48 Na yule asiyejua, naye amefanya yastahiliyo mapigo, atapigwa kidogo.
 
Lkn Bado Uislam,unakupa na kukulazima kusoma,hususan Dini yako
na ikiwa upo urahisi wa kusoma,ila kwa uvivu tu,ukawa hutaki kusoma,kisha ukawa ni mwenye kuyatenda madhambi hayo

Basi hapo huna udhuru kisheria
mtu ahukumiwi kwa dhambi asiyoijua..acha complications
 
Back
Top Bottom