Je Tecno w4 zina uwezo wa internet ya 4G?

Je Tecno w4 zina uwezo wa internet ya 4G?

Kabelwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
678
Reaction score
196
Habari wakuu ninauliza kwa wadau wanaotumia hizi Tecno w4, je zinauwezo wa kutumia internet ya 4g! Kwa sababu huwa ninakutana na majibu tofauti mengine inaonekana uwezo huo hazina mengine uwezo huo zinao.
 
Kuna zenye 4G na 3G tu, so inatengemea yakwako ipi hapo
 
Ninampango wa kununua yenye 4g sasa nitaijuaje kama ndio yenyewe na ni bei gani!
 
Ninampango wa kununua yenye 4g sasa nitaijuaje kama ndio yenyewe na ni bei gani!

W4 inakuja na chipset ya MTK 6735 ambayo inasupport 4G lte. sijajaribu kuona kama inashika 4G kiuhalisia.
tecno w3 inasupport 3G only, wakati tecno W3 Lte inasupport 4G.
 
W4 inakuja na chipset ya MTK 6735 ambayo inasupport 4G lte. sijajaribu kuona kama inashika 4G kiuhalisia.
tecno w3 inasupport 3G only, wakati tecno W3 Lte inasupport 4G.
Unaweza uka fix 4g kwenye tecno w4 but mpaka uwe ume root cm
 
Unafix vipi Mkuu baada ya kuroot
 
Hata mm bado natafuta mtu aliye root tecno w4.antumie video jinsi ya ku root
 
Back
Top Bottom