Jackson j
Member
- Aug 29, 2019
- 17
- 6
Nilielew but watu waliotransfer walishajibiw direct na chuoUlisoma TCU calendar lakini?
Nilielew but watu waliotransfer walishajibiw direct na chuoUlisoma TCU calendar lakini?
Hakuna iyo kitu...Nilielew but watu waliotransfer walishajibiw direct na chuo
Kama ni hivyo basi kuna dosari Mahala!Nilielew but watu waliotransfer walishajibiw direct na chuo
May be Tarehe 7 iliangukia weekend,ngoja tuone kesho siku ya kaziHakuna iyo kitu...
Tar 7 ndio ilikuwa siku ya kuprove transfer na tcu, hawajatoa chochote mpaka sasa.
Ina maana hata vyuo bado havijapewa taarifa.. Nimefatilia.
Tcu ni wazembe saana jipu lile
Mkuu leo siku ya kazi na bado wamekausha imepita... Lile ni jipu..May be Tarehe 7 iliangukia weekend,ngoja tuone kesho siku ya kazi
Duh! Hatari Sana mkuu.Mkuu leo siku ya kazi na bado wamekausha imepita... Lile ni jipu..
Ratiba wanapanga wao na kuitekeleza wanshndwa wao.. Hii ni dalili moja ya kutojielewa na mipango yao... Kama ratiba ya mwez tu inakushnda unadhana atapanga ratiba ya mwaka uyo
TCU bado hawajatoa mi Leo nilienda utawala wa chuo kuulizia na wao hawajui TCU watarudisha Lini majibuKuna yeyote jamani ameshapata majibu kuhusiana transfer zilizoruhusiwa na TCU? maana Calendar ya TCU inaonyesha majibu yalikuwa yatolewe December 7 na leo ni December 12 kimya kbs
Majibu bado hayo uliyopewa wewe ni majibu ya chuo ukikubaliwa chuoni ndo wanapeleka TCU kwa ajili ya final approval af TCU ndo wanatoa final so subiria ya TCU unaweza kubaliwa na chuo ukatemwa na TCUWalisharudisha majibu mim mwenyewe nmepewa majibu Leo ya kutransfer pia udom kitambo sana walipata majibu kutoka TCU
Sent using Jamii Forums mobile app
Chuoni pia wanadai hawana taarifa zozote toka TCU, vyuo vinavyotoa majibu vinatumia uzoefu tu kwamba kwa kuwa wao wamekupokea na nafasi ipo basi tcu hawawez kupinga... Ndio wanasema tcu washajibu...Wale wote , waliofanya transfer ni hivi fanya juu chini uende katika chuo ULICHOOMBA KUHAMIA THEN NENDA UKAULIZE HUKO HUKO , NDO WATAKUPA MAJIBU . HAPA ARDHI WALIPIGIWA SIMU KUWA WAMEKUBWALIWA , THEN REG.NO TIYARI . SO FANYA JUU CHINI UENDE KATIKA CHUO ULICHOPELEKA OMBI LA KUHAMIA .
ubabaishaji usio kwisha! Kila konaChuoni pia wanadai hawana taarifa zozote toka TCU, vyuo vinavyotoa majibu vinatumia uzoefu tu kwamba kwa kuwa wao wamekupokea na nafasi ipo basi tcu hawawez kupinga... Ndio wanasema tcu washajibu...
Ila so far tcu ni horobo kabisa.. Calendar yao ilitakiwa wajibu aproval tareh 7 hadi leo kimya na hakuna info yoyote... Niliwachek kwa email hawajajibu.. Simu hazipokelew...
Km una ndugu pale tuwaulize wana tupate result kamili... Time inakata hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tatizo mahala Kama ni hivyo.Walisharudisha majibu mim mwenyewe nmepewa majibu Leo ya kutransfer pia udom kitambo sana walipata majibu kutoka TCU
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee ndugu yangu chuoni alikoomba kuhamia hadi leo asubuhi wamemjibu kuwahawajapata bado majibu ya approval kutoka TCU, so bado ni kizungumkuti tu hadi sasa, hajui itakuaje na hata hajapewa namba ya usajili anaambiwa hadi approval kutoka TCU itolewe!!Wale wote , waliofanya transfer ni hivi fanya juu chini uende katika chuo ULICHOOMBA KUHAMIA THEN NENDA UKAULIZE HUKO HUKO , NDO WATAKUPA MAJIBU . HAPA ARDHI WALIPIGIWA SIMU KUWA WAMEKUBWALIWA , THEN REG.NO TIYARI . SO FANYA JUU CHINI UENDE KATIKA CHUO ULICHOPELEKA OMBI LA KUHAMIA .
Aisee ndugu yangu chuoni alikoomba kuhamia hadi leo asubuhi wamemjibu kuwahawajapata bado majibu ya approval kutoka TCU, so bado ni kizungumkuti tu hadi sasa, hajui itakuaje na hata hajapewa namba ya usajili anaambiwa hadi approval kutoka TCU itolewe!!
yeye jamaa yangu kakubaliwa na chuo na anasomakbs ila hawajampa namba ya usajili bado wanasema wanasubiri approval ya TCU,Sisi chuon kwetu watu kibao wamehamia tena majibu walishapewa tokea mda mrefu tu na washasajiliwa ,kinachosubiliw kutok TCU ni kwamba TCU wafute usajiri wako kutoka katika chuo cha mwanzo na ubaki kwenye chuo kimoja tu ambacho ndio umehamia .sasa hvyo vyuo vinavyosema vinasubir majibu kutok TCU hapo nikwamba tu wamekukataa ila hawataki kukuambia.
Sisi chuon kwetu watu kibao wamehamia tena majibu walishapewa tokea mda mrefu tu na washasajiliwa ,kinachosubiliw kutok TCU ni kwamba TCU wafute usajiri wako kutoka katika chuo cha mwanzo na ubaki kwenye chuo kimoja tu ambacho ndio umehamia .sasa hvyo vyuo vinavyosema vinasubir majibu kutok TCU hapo nikwamba tu wamekukataa ila hawataki kukuambia.