Je, TBC hawaruhusiwi kusoma habari za CHADEMA?

LE GAGNANT

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
1,241
251
Enock Mbwigane leo asubuhi wakati wa kusoma magazeti, alikumbana na title kwenye gazeti la jambo leo "CHADEMA yabadili mbinu ya kuingia ikulu". Akataka kuisoma halafu akasita kaliweka gazeti kando na kuchukua gazeti jingine, nako kakuta kichwa cha juu kinamuhusu Mbowe kasema nunua mwenyewe uisome habari hiyo. Inawezekana ni sera yao kutosoma habari yoyote ya CHADEMA, inashangaza pesa za walipa kodi kutumiwa kwa matakwa ya kuwabeba wanasiasa fulani dhini ya wengine kwenye vyombo vya habari.
 
Kama nikweli mkuu,wataisoma namba tu 2015!Tendo hilo halina tofauti na lile labunge kutaka kutoonyeshwa live!Hata hivyo TBC wajichunguze wanawatazamaji kama wanavyofikiri?
 
Siku zao zinahesabika kwani watakuwa wamepewa masharti magumu ya kutotamka neno CHADEMA, au mwanachama yoyote wa Chadema , isipokuwa tu watamke na warudie rudie kuyatangaza mabaya ya CHADEMA na kuficha Uovu wote unaofanywa na CCM. Ipo siku isiyokuwa na jina na muda si mrefu watu pale TBC watakuwawakijitoa wenyewe kwani chama cha Upinzani kikishika Dola sidhani kuna mtu atakubali kuendesha shirika la Umma kwa upendeleo wa wazi vile...let them enjoy but they know for sure the uncertainity of their employment at 2015 soon after the general election.Watanzania tunaolipa kodi zetu tunaona na kusikia kile mnachokifanya lakini mjue ngiriba na mbembe siku zote zina mwisho,
 
Siku zao
zinahesabika kwani watakuwa wamepewa masharti magumu ya kutotamka neno
CHADEMA, au mwanachama yoyote wa Chadema , isipokuwa tu watamke na
warudie rudie kuyatangaza mabaya ya CHADEMA na kuficha Uovu wote
unaofanywa na CCM. Ipo siku isiyokuwa na jina na muda si mrefu watu pale
TBC watakuwawakijitoa wenyewe kwani chama cha Upinzani kikishika Dola
sidhani kuna mtu atakubali kuendesha shirika la Umma kwa upendeleo wa
wazi vile...let them enjoy but they know for sure the uncertainity of
their employment at 2015 soon after the general election.Watanzania
tunaolipa kodi zetu tunaona na kusikia kile mnachokifanya lakini mjue
ngiriba na mbembe siku zote zina mwisho,

tbc inamilikiwa na ccm au magamba.
 
Hawa jamaa wanatangaza habari za CCM tu, ni kweli hata mimi nilimuona Enock Bwigane. Kimsingi hii ni TV ya chama cha mapinduzi si unaona wanaonesha shughuli zote za chama lakini bunge utasikia wakisema "mtambo wetu ulioko dodoma una hitirafu, lakini masuala ya chama hata kama yako ngazi ya kitongoji mtambo hautapata hitirafu hata kidogo!
 
Enock Mbwigane leo asubuhi wakati wa kusoma magazeti, alikumbana na title kwenye gazeti la jambo leo "CHADEMA yabadili mbinu ya kuingia ikulu". Akataka kuisoma halafu akasita kaliweka gazeti kando na kuchukua gazeti jingine, nako kakuta kichwa cha juu kinamuhusu Mbowe kasema nunua mwenyewe uisome habari hiyo. Inawezekana ni sera yao kutosoma habari yoyote ya CHADEMA, inashangaza pesa za walipa kodi kutumiwa kwa matakwa ya kuwabeba wanasiasa fulani dhini ya wengine kwenye vyombo vya habari.

ndg,ili shirika lilisha nunu liwa na ccm lina itwa [tbccm]shika la utangazaji la chama cha mapinduzi,wewe ukitaka habari za ccm wewe fungulia tbc jiulize mkutano mkuu wa ccm chimwaga tbc ili kesha mwazo wa asubui mpaka usiku live,meli inazama nungwi wao wanapiga taarabu,ndio maana wakamwondoa tido mwando kwa kuwa alipingana na matakwa yao tido alijua ili nishirika la uma na nilazima lidili na uma,ndio maana shirika lilikua alina upendeleo wa habari,sasa wamemtoa tido,waka mweka klementi mshana,huyu bwana naona hajitambui kama ikinichombo cha uma sasa wameji binafsishia kienyeji kienyeji,kimekua ni chombo cha propaganda kwa chadema,kutendeneza vipindi vya chama nasio kkuwatumikia wananchi,
 
Enock Mbwigane leo asubuhi wakati wa kusoma magazeti, alikumbana na title kwenye gazeti la jambo leo "CHADEMA yabadili mbinu ya kuingia ikulu". Akataka kuisoma halafu akasita kaliweka gazeti kando na kuchukua gazeti jingine, nako kakuta kichwa cha juu kinamuhusu Mbowe kasema nunua mwenyewe uisome habari hiyo. Inawezekana ni sera yao kutosoma habari yoyote ya CHADEMA, inashangaza pesa za walipa kodi kutumiwa kwa matakwa ya kuwabeba wanasiasa fulani dhini ya wengine kwenye vyombo vya habari.

Eeh! MUNGU wa mbinguni. Utujaliae sisi tuliomasikin na wanyonge kupata japo kwa shida vijisent vya kulipa kodi kwa serikali yetu. Tizama dhuruma hìi. Hata watangazaji wanalipwa mishahala kwa kodi hizihizi. Angalia wanavyotubagua na kututendea hila wakisahau kuwa wanakula na kunenepa kwa sababu yetu sisi wanaotubagua. Eeh Mwenyez Mungu tenda haki sasa. Naomba uwaonese uwepo wako na hasira zako kwa wanyang'anyi hawa wa haki zetu. Aaaamen.
Nakushukuru wewe uliyesoma maombi haya. Amin Mungu wako ni msikivu.atatenda sawa na maombi haya. Usite kuiombea mema Tz siku zote za maisha yako.
 
Tido Mhando alikua ni mkurugenzi na alifutwa kazi tbc kisa na mkasa ni CHADEMA kipindi cha kampeni za 2010 .
kwa nini msoma habari asiwe muoga wakati alishuhudia tido akitimuliwa kisa chadema??
 
Haa! Inamaana ulikuwa hujui? Ilizama meli zenji walibaki kuonesha tarabu. Tena ni kosa la jinai kwa mtangazaji kutangaza habari nzuri za peoplessssssssssssssss ..........always ........power. Ila tv ya taifa sasa ni itv daima
 
Sijui na nyinyi mnatafutaga nini huko, tbc hakuna kipindi cha maana labda kama una tu stress kidogo unaweza angalia Original Komed na chereko and sometimes michezo, vipindi vingine tafuta TV makini
 
Tunahitaji siasa zenye usawa (PLAIN GROUND) kwa vyama vyote haya ndio mambo ambayo katiba ya WARIOBA inatakiwa iyaangalie na yawepo ndani ya katiba huu ni upuuzi kabisa.
 
Hivi mnajua ccm hawana akili kabisa wandhanishia kutotangaza habari habari za chadema ndo kukidhoofisha ila wajue watu wajanja hawasikilizi tbc wanasiliza vyombo vingine vya habari
 
Nafuu yenu mliobahatika kuiangalia hiyo TV ya CCM ila mna moyo, mimi siyo kwamba sitaki ila hata kudhubutu kujua ipo channel no. ngapi sidhubutu. Huyo mtangazaji asome asisome atajua mwenyewe na tv yao ya ccm
 
Nauliza hivi makamanda, tumeshindwa kuanzisha tv au redio zetu jamani hivi ni vitu muhimu sana tunaona vyombo vya habari kama tbcmasisiemu hawasomi hata habari za cdm katika magazeti, itv kidogooo wanajitahidi,.... Vyombo vya habari vya chama ni muhimu sana
 
eeh! Mungu wa mbinguni. Utujaliae sisi tuliomasikin na wanyonge kupata japo kwa shida vijisent vya kulipa kodi kwa serikali yetu. Tizama dhuruma hìi. Hata watangazaji wanalipwa mishahala kwa kodi hizihizi. Angalia wanavyotubagua na kututendea hila wakisahau kuwa wanakula na kunenepa kwa sababu yetu sisi wanaotubagua. Eeh mwenyez mungu tenda haki sasa. Naomba uwaonese uwepo wako na hasira zako kwa wanyang'anyi hawa wa haki zetu. Aaaamen.
Nakushukuru wewe uliyesoma maombi haya. Amin mungu wako ni msikivu.atatenda sawa na maombi haya. Usite kuiombea mema tz siku zote za maisha yako.

amen!.
 
Back
Top Bottom