Je, Tanzania ina uraia pacha?

Je, Tanzania ina uraia pacha?

Hiyo nisheria ya FIFA,je sheria ya nchi inasemaje? Mkuu usiongee tu hivi unajua kama kuna watu wanateseka kwa jambo hili?

Mzee baba mbona maelezo yangu yamenyooka kabisa na nimekutajia kuwa hao wachezaji wana vinasaba na Tanzania

Sheria ya nchi inawatambua kama Watanzania, unakuwa uraia wa kurithi na wanapewa kwa ajili ya kulitumikia taifa...

Hao wachezaji wote wana hati za kusafiria za Tanzania...

Tanzania kuna aina nne za uraia, kwa hao wachezaji ni aina hiyo namba 2...

1) Uraia wa kuzaliwa
2) Uraia wa kurithi
3) Uraia wa kuoa au kuolewa
4) Uraia wa kujiandikisha

View attachment 3522330
 
Kwa ujinga ujinga, rushwa na kupuuzwa kwa sheria za nchi, sitoshangaa hata kidogo kusikia kuna mtanzania ana uraia wa nchi nyingine na bado anao uraia wa Tanzania.
Neno sheria Tanzania liondoe.

Watakalotaka wenye nchi yao huwa, na halipingwi. Mradi uwe na hela, madaraka au mwimbaji wa sifa na kuabudu au connection.
 
Hiyo nisheria ya FIFA,je sheria ya nchi inasemaje? Mkuu usiongee tu hivi unajua kama kuna watu wanateseka kwa jambo hili?

Je kama ulizaliwa Tanzania na babu zako walitoka nje wewe utakuwa wa nchi gani?
Wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom