livewise1
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 837
- 952
Habari!
Baadhi ya wanawake waongo waongo kwenye kutafta wenzi...baada ya kuwapata basi uhalisia wa mambo ukijulikana wanajitetea walitaka kupata huyo mpenzi ndio maana wakaongopa.
Lakini bado tabia za uongo uongo zinaendelea hata hivyo.
NB: huu uongo naozungumzia sio wa kupelekea usaliti.
Mfano anakuongopea babake anafanya kazi nje ya nchi...kumbe yupo hapo kariakoo anabiashara ya kuuza vifaa vya ujenzi...au yeye hana kazi kwa sababu hataki tu ila ana degree...badae unakuja kujua anayo kazi rasmi na alikuwa haombi pesa mpaka umtumie ukipenda...hata hivyo anaweza kukusapraizi na double ya pesa uliyompa ndani ya wiki hiyo hiyo!
-Hizi tabia zivumilike???
-haya hayawezi kuwa ni maandalizi ya matukio mengine makubwa???
Ushauri!!!
Baadhi ya wanawake waongo waongo kwenye kutafta wenzi...baada ya kuwapata basi uhalisia wa mambo ukijulikana wanajitetea walitaka kupata huyo mpenzi ndio maana wakaongopa.
Lakini bado tabia za uongo uongo zinaendelea hata hivyo.
NB: huu uongo naozungumzia sio wa kupelekea usaliti.
Mfano anakuongopea babake anafanya kazi nje ya nchi...kumbe yupo hapo kariakoo anabiashara ya kuuza vifaa vya ujenzi...au yeye hana kazi kwa sababu hataki tu ila ana degree...badae unakuja kujua anayo kazi rasmi na alikuwa haombi pesa mpaka umtumie ukipenda...hata hivyo anaweza kukusapraizi na double ya pesa uliyompa ndani ya wiki hiyo hiyo!
-Hizi tabia zivumilike???
-haya hayawezi kuwa ni maandalizi ya matukio mengine makubwa???
Ushauri!!!