Mgeni akiambiwa Young Africans sports club anaona bonge la timu, akijiunga nayo sasa na kupelekwa magomeni primary school kufanya mazoezi duh anashangaa mbona hamna tofauti na Lipuli fc.Tunamtakia kila la heri kwenye timu yake mpya ya Wananchi. Tumeanza na Mapinduzi! Tutachukua VPL na pia ASFC!!
Huu ni mwaka wa Yanga. Wale wanao abudu MAPAKA,watuvumilie tu safari hii. Jambo letu hili ni lazima litimie.
Aiseee !! Tanzania ni kiboko sana ! kuna wakati Nani Zaidi ya redio one Hadija Kopa alimzidi Madonna1.kikosi bora Cha Afcon 2019 alikuwepo
2.Abdul Razaq alimpita magoli Salah kwenye mechi za kuqualify AFCON
View attachment 1679508View attachment 1679509
Kwa wakati ule Ngassa alikuwa mshambuliaji boraKama ni magoli ya kufuzu hata uncle Ngassa aliwahi kuwapiga waComoro mengi mengi, sijui naye tumuite mshambuliaji bora!
Lile birika la kuvutia shisha limewatoa ufahamu kabisaaaaaTunamtakia kila la heri kwenye timu yake mpya ya Wananchi. Tumeanza na Mapinduzi! Tutachukua VPL na pia ASFC!!
Huu ni mwaka wa Yanga. Wale wanao abudu MAPAKA,watuvumilie tu safari hii. Jambo letu hili ni lazima litimie.
Nyani ni kuwaacha kama walivyokatika magoli 6 aliyofunga matano ni dhidi ya south sudan embu punguzeni munkari utopolo hivi mmesahau kuna kipindi mrisho ngasa alikuwa top joint score wa champions league akiwa na magoal 6 yanga walitolewa round ya kwanza lakini katika round ya awali yanga peke yake aliwapiga wa commoro goals 6 ina maana ngassa alikuwa hatari sana au?
View attachment 1679598View attachment 1679599
Ni kombe , wewe Nyau ulifuata nn Zanzibar? Ulivifunga vitimu vidogo vidogo kwa kasi ulipokutana tu Mwanaune hata shoot on target ukupataLile birika la kuvutia shisha limewatoa ufahamu kabisaaaaa
Wewe kima tulia kama unakunya,lile ni birika la kuvutia shisha tu.Ni kombe , wewe Nyau ulifuata nn Zanzibar? Ulivifunga vitimu vidogo vidogo kwa kasi ulipokutana tu Mwanaune hata shoot on target ukupata
Naona bado unaweweseka na matokeo ya Zanzibar, umebaki kudharau kombe. Mbumbumbu ni mbumbumbu tu.Wewe kima tulia kama unakunya,lile ni birika la kuvutia shisha tu.
katika magoli 6 aliyofunga matano ni dhidi ya south sudan kusini
View attachment 1679598View attachment 1679599
Nyani ni nyani, ishu ni hadhi ya hilo kombe wewe kima, mumelichua sawa then what next? Kombe la VPL mshindi anashiriki Champions League, Kombe la Shirikisho vile vile mshindi anaiwakilisha nchi ,jee hilo birika lenu umesikia kuna mashindano ya kimataifa ya kuvuta shisha?Naona bado unaweweseka na matokeo ya Zanzibar, umebaki kudharau kombe. Mbumbumbu ni mbumbumbu tu.
Kama ulikuwa unayajua hayo ulifuata nn Zanzibar? Msimu huu mjiandae kisaikolojia Ni tofauti na mlivyozoea huwa mna kelele na kejeri nyingi mwisho wa siku mnagwaya gwaya ,Sasa endeleeni kutamba kuhusu kwenye makundi kitakachowakuta huko mtaleta maneno mengine Mara hivi Mara vile kwa maneno haya mnayoongea baada ya kupigwa na kukosoa kombe la Mapinduzi bilashaka mkipigwa kipigo Cha Mbwa koko na kutolewa kwenye makundi mtakuja hapa na vimaneno maneno vya kujifariji badala ya kukiri umeshindwa wapi na kutafakari nn Cha kufanya ili usifungwe tena kwa wakati mwingine ujao.Yani mashabiki wa Simba vigeu hey hatari leo mnaongea hivi kesho mnakataa mlichoongea leo.Mkishindwa muwe mnakiri mmeshindwa msilete sababu za hovyo hovyo mnajidharaulisha.Nyani ni nyani, ishu ni hadhi ya hilo kombe wewe kima, mumelichua sawa then what next? Kombe la VPL mshindi anashiriki Champions League, Kombe la Shirikisho vile vile mshindi anaiwakilisha nchi ,jee hilo birika lenu umesikia kuna mashindano ya kimataifa ya kuvuta shisha?