Je, simu yangu imedukuliwa?

Je, simu yangu imedukuliwa?

TGD

Senior Member
Joined
Sep 9, 2023
Posts
115
Reaction score
234
Naomba wataalamu mnisaidie kuna namba nimeisave kwenye simu yangu lakini nikiandkia nyota kwenye sehemu ya kuingiza namba linatokea jina la hiyo nambna, shida ni nini au amenidukua?
 
Naomba wataalamu mnisaidie kuna namba nimeisave kwenye simu yangu lakini nikiandkia nyota kwenye sehemu ya kuingiza namba linatokea jina la hiyo nambna, shida ni nini au amenidukua?
Haya mambo bhqna
 
hahaha nieleze vizuri mkuu
 
Back
Top Bottom