Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,124
- 6,355
Huu ndio ushauri?Simba ni Simba na Yanga ni Yanga, hata jezi zao zipo tofauti. Ni ujinga kuwaza ulivyo waza.
Ikiwa una mahaba na Yanga songa mbele na Yanga yako, tuachie Simba yetu.
Dah! Watu mmevurugwa aisee.
MTU kauliza kiungwana, kama Taifa Lina watu kama wewe basi tunasafari ndefu SANA.