Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,314
- 105,143
Pia anakua na nafasi kubwa ya kucheza dakika zote 90 kwenye kikosi chao, kiufupi anakua ni mchezaji tegemezi hata kama goli alilofunga lilikua la penaltyMchezaji yeyote anapata jina kwa kuifunga timu kubwa yenye jina.
Kwa hiyo kila mchezaji anawaza kuifunga Simba ili apate jina...