Why not,chukulia ni lijambazi na linataka kujerui askari,kama wewe ni askari na unaona kifo kipo mbele yako why not usimtwange risasi? Ukikaidi kukamatwa na Polisi,polisi wanayo haki kwa mujibu wa sheria za Tanzania Kutumia Nguvu kiasi ili kumkamata mtuhumiwa.ila hiyo nguvu kiasi ajatajwa ni kwa kiasi gani.