BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 422
- 1,049
Nipo Border ya Sirari na Kenya, kuna changamoto moja hapa Serikali haitaki kutoa vibali vya kusafirisha mazao kwenda nje ya Nchi ila sasa madali wanapitisha Mahindi njia za panya kupeleka Mahindi Kenya.
Je, kwanini Serikali isitoe Vibali ili ipate mapato?
Je, kwanini Serikali isitoe Vibali ili ipate mapato?