Je, Serikali imebadili Magari ya Wakuu wa Mikoa?

Wewe na watu wa jamii kama yako mkipimwa akili unaweza kukuta kunamatope kichwani. Yaani unakaa unafuatilia mtu as if kupitia huyo mtu unajipatia kipato. Mbona hatuoni mkafanyia uchunguzi wakuu wa mikoa wengine. Kwa stahili hii tunasafari ndefu sana ya maendeleo.
Mbona hajamfuatilia babaako?ni kwasababu huyo anaemfuatilia ni kiongozi na wanahudumiwa kwa kodi zetu lazima kuwe na kizazi cha kuhoji kinachofanyika ni sawa kwa taratibu za kiserikali?nyie mnaoona itafika awamu ya msiowapenda mtakuja humu kuhoji haya haya yanayofanyika leo.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alifanya ziara Mjini Magharibi Zanzibar na kutembelea miradi mbalimbali pamoja na viwanda, AyoTV ilinasa kila kitu kilivyokua UNAWEZA KUTAZAMA HAPA >>>


Chanzo. Millard Ayo
 
Mbona hajamfuatilia babaako?ni kwasababu huyo anaemfuatilia ni kiongozi na wanahudumiwa kwa kodi zetu lazima kuwe na kizazi cha kuhoji kinachofanyika ni sawa kwa taratibu za kiserikali?nyie mnaoona itafika awamu ya msiowapenda mtakuja humu kuhoji haya haya yanayofanyika leo.
Mbona povu jingi. Au na wewe ulikua mnufaika wa madawa nini?
 
Mkuu kwa sasa hilo gari even second hand ni between £40-50 thousands + TRA taxes. Makonda hela hiyo hana Kama ni mshahara tu.
Watu mnajua hadi account za wengine zina kiaai gani!
 
Mbona povu jingi. Au na wewe ulikua mnufaika wa madawa nini?
Mtaani mateja wapo barabarani au wameisha?kama wameisha basi tuishie hapo kama bado wapo basi inawezekana naendelea kunufaika na kuna tatizo sehemu,kesi za madawa waliotajwa kuna aliefungwa?
 
Hahahaaa.. Umekalili chifu. Kwa uchunguzi upi uliofanya na kujua kuwa maRC wengine hawana maisha bora
Rc wa dar ndy rc tajiri Kuliko ma rc wote tena jamaa anawafunika Mpaka baadhi ya Wafanya biashara Kwa mshiko mkuu huo ndy ukweli

Ova
 
Mtaani mateja wapo barabarani au wameisha?kama wameisha basi tuishie hapo kama bado wapo basi inawezekana naendelea kunufaika na kuna tatizo sehemu,kesi za madawa waliotajwa kuna aliefungwa?
Hoja yangu ni kuwa. Kelele nyingi kuhusu RC huyo zilianza baada ya kutuhumu watu kwa madawa. Whether utekelezaji wake ulikua butu au la. Hivyo inawezekana wanaomlalamikia ni wanufaika.
 
Ina maana znz hatuna mwana jamii mwenzetu huko maana inaelekea hatuna kupashana habari, Mh Makonda alipoenda znz alipata mwaliko wa mkuu wa mkoa huko Unguja, kwahiyo hiyo gari alikuwa anaitumia na inaonekana alitayarishiwa na mwenyeji wake , kwahiyo ni vizuri tuka jiridhisha kwanza kabla hatujaandika habari ambayo baadae mtoa habari ataonekana amekurupuka
Atayarishiwe range kama nani makamu wa rais
 
Watu mnajua hadi account za wengine zina kiaai gani!
We pimbi kweli ebu jaribu kugawa mshahara wa tsh/m10 ($4454.5) na gari ambalo kuliingiza barabarani Tanzania minimum expenditure ni zaidi $110,000 wewe unadhani kwanini matajiri wanatumia njia za panya.

Mtu huyo huyo anamiliki ford ranger anajenga mwanza. Kwa income gani dogo ni fisadi tu.
 
Ni wakati wake mwache autumie ila mwisho wake daima sio mwema


Masikini siku zote wanaishi kwa misemo, kama misemo ingekuwa na maana yoyote Wazungu na Waarabu walio uwa, baka, nyang‘anya Mali zetu wangekuwa wanaishi leo hii kwa mateso klk sisi, lkn wapi ndiyo kwa tinakimbilia kwa kuishi kwao tena baada ya kasheshe la kuomba viza!
 
Back
Top Bottom