mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,397
- 3,252
Huyo ni mwana mfalme
Mkuu hata Landcruiser V8 ya wabunge na wakuu wa mikoa nayo I nakunywa mafuta 4.5litres engine capacityKama ni kweli, basi ile dhana ya kubana matumizi haipo, maana hilo dude linavyokunywa mafuta, we acha tu.
aliyeshindwa ni Magufuli kama amesuccumb kwa makonda akafanya mambo yakinyume na utumishi wa umma unaona wananchi wameshindwa au kiongozi ndio ameanguka na anakwenda na maono yake ya kuweka nidhamu za utumishi sawa huoni ni doa kubwa kwa mkuu kuwa na suraa mbili sura ya kusimamia misingi na sura kukiuka misingi hilo la kumuacha makonda na vyeti feki ukikumbuka ndio limesababisha achukiwe sana na serikali yake kupuuzwa so think twiceVyeti mmekwama, sasa mmehamia kwenye usafiri? Hamtashinda
Makonda yeye ni nani wa kubadilisha maadili ya watumishi wa umma kwanini Raisi Magufuli inapokuja kwa makonda anaconda nakuona mambo ya hovyo ni sawa ni mfano gani anaweka kwa wananchiMkuu hata Landcruiser V8 ya wabunge na wakuu wa mikoa nayo I nakunywa mafuta 4.5litres engine capacity
Habari wanaJF,
Katika peruzi peruzi yangu mitandaoni nimekutana picha iliyonishangaza baada ya kuona Gari aina ya Range Rover ikiwa na Plate Number inayoashiria kuwa anapaswa kuitumia Mkuu wa Mkoa RC DSM yaani RC(Regional Commissioner) DSM(Dar es Salaam).
Je, ni wakuu wa mikoa wote wanatumia Magari haya?
Je, kama si mali ya Serikali inawezekana Watu binafsi kutumia Magari yenye Plate Number zinazofanana na za viongozi wa umma?
Kama ni mali ya Mkuu wa Mkoa, Je ni sawa kutumia Plate Number yenye hadhi ya Uongozi wa Umma katika magari binafsi?
Umenikumbusha marketing enzi za ujanaatakuwa amepata kama Bonus baada ya kufikia Target ya kujenga viwanda.
Kweli kabisaUkiona swala anaringa saana na mashauzi mengi msituni, ujue simba ndio bahasha wake..
Bashite latosha.Tatizo ana majina mawili
Bashite bhana jambo dogo tena la kibinafsi lakini full makemera. anajifunza nn ameenda kula bata anajificha kwenye kujifunza ili atanue na mali za umma.Hahaha makonda bana ,huyu jamaa ana enjoy
We umeangalia picha fungua video ndio utaelewa.. hyo ni ziara alipokuwa zanzibar, hapo kuna kipikipiki kibatavuz na namba za zanzibarNa apo sio tz kama kuna anayebishi azoom picha kuna prado kwa mbele ina plate number ya right blue vitu edited hivyo
ZenjiHii pikipiki hapo mbele mbn haina no za bongo
Nilimuona TBC wanamuita mtalii wa ndani,alienda kuangalia jinsi mtu anavyopanda mnaziBashite bhana jambo dogo tena la kibinafsi lakini full makemera. anajifunza nn ameenda kula bata anajificha kwenye kujifunza ili atanue na mali za umma.
Habari wanaJF,
Katika peruzi peruzi yangu mitandaoni nimekutana picha iliyonishangaza baada ya kuona Gari aina ya Range Rover ikiwa na Plate Number inayoashiria kuwa anapaswa kuitumia Mkuu wa Mkoa RC DSM yaani RC(Regional Commissioner) DSM(Dar es Salaam).
Je, ni wakuu wa mikoa wote wanatumia Magari haya?
Je, kama si mali ya Serikali inawezekana Watu binafsi kutumia Magari yenye Plate Number zinazofanana na za viongozi wa umma?
Kama ni mali ya Mkuu wa Mkoa, Je ni sawa kutumia Plate Number yenye hadhi ya Uongozi wa Umma katika magari binafsi?