Ashasembeko
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 225
- 910
- Thread starter
-
- #41
Hao wanaoendesha nchi ni kina nani?Hata jpm alikuwa kivuli sema maubabe yake wakavumilia ila wakamuwahi
Wabongo mlishauzwa kitambo saivi vyei vya urais ni story tu hamna kitu
Natumaini ni kweli. Tushaichoka CCM. Sasa hao wanaoongoza nchi kwa mgongo wa Samia watakubali kuachia madaraka kirahisi?Huyu si Rais wala kiongozi wa nchi. Huyu ni kivuli tu lakini command ya uongozi wa nchi inafanywa na watu wengine kabisa...
Lakini tusishangae sana kwa haya kutokea. Kwa sababu Rais Samia Suluhu Hassan ndiye Rais wa kwanza mwanamke na wa mwisho toka CCM kuongoza Tanzania...
Huyu ndiye alama ya mwisho ya utawala na siasa za CCM Tanzania...
Mabeyo kwa kushirikiana na Simon Sirro walifanya haraka kumuweka madarakani mama samia for their own interest, Na waamini ya kwamba kifo cha Mwendazake, viongozi wa juu wanafahamu chanzo chake kwani si kweli alifariki kwa ugonjwa uliotajwa kama chanzo chake cha kifo, It's Big No, mwendazake alikatishwa uhai wake na kinachofanywa sasa ni kutaka kulipiza Kwa yaliyotokea wa bosi wao, Afya ya Mbowe itadhoofishwa makusudi kabisaIla Mabeyo si ndio alisaidia kumiweka hapo. Pia, unataka sema hao wakuu wa vyombo bya usalama ndio wanaendesha nchi? Hamna anaewaamuru nyuma yao? Kwanini Samia asiachie ngazi kama yamemshinda?
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Kila mtu atapata show kubwa kubwa tuu, kila mtu anakula doze yakeWe' jamaa, fara sana! Kwa akili yako ilivyo, unajua magereza ni kwa ajili ya watu fulani tu? Hata Sabaya hakutegemea kuwa huko aliko leo! Ulikuwa mstari wa mbele kuimba "MITANO TENA"! Kilichotokea, ulitarajia?
Shauri ya lenyewe nalo kama halijielewi!Kuna watu wameamua kumpindua mama kimaamuzi. We are lost.
Huwez kumfuta kazi CDF kwa mazingira aliyoingia Ikulu
Dah masikini Wala huoni mbele.
Hujui Nini kinaenda kutokea.
Ama kweli wafuasi wa CCM 98% Ni wajinga na ndio mtaji wa CCM.
Pole Sana.
Subiri utajua hujui.
Duh. Dini thoery vs scientific facts unakosea brotherHiyo ndiyo hali halisi...
Shetani kwa sasa ana hasira sana. Anajua mwisho wake u karibu, in fact umeshafika...
Hawezi kukubali kuondoka peke yake. Atahukumiwa sawiwa, lakini lazima aumize na kudhalilisha baadhi ya watu...
Hivi ndivyo ilivyokuwa wakati Yesu Kristo akiendesha harakati zake za kuukomboa ulimwengu toka mikononi mwa ibilisi...
Mawakala wa ibilisi/shetani walikuwa ni watawala wa kisiasa na serikali. Walielewa kabisa kuwa, huyu bwana (Yesu Kristo) alikuwa ankwenda kuwaangusha wao na utawala wao. Hawakukubali wafe peke yao. Walitaka wafe nae. Wakasuka mipango ya kumuua kwa kutunga makosa ya uongo yq ugaidi na uhaini. Wakafanikiwa. Wakamuhukumu kifo. Lakini hawakujua kuwa kwa njia ya kifo chake walichokitengeneza mwenyewe, ndiyo ukombozi na ushindi ungepatikana...
Ndivyo ilivyo leo
Kuwa, serikali hii iliyokuwa chini ya Mwendazake John P. Magufuli na sasa kampasia mpira huyu mwanamke na chama kinachoingoza (CCM) ni purely wakala (agent) na alama halisi ya shetani na kinajua kinakwenda kupotea...
EeeenHeee,Nikiwa kama SUKUMA GANG,ninasema hivii MPAMBANE NA HALI ZENU,Msoga/CDM/wanaharakati uchwara wazee wa mama anaupiga mwingi.Endeleeni na sinema zenu za kufuta legacy.
Ila tunawakumbusha tu, JPM was a president na nusu.
Kwa Sasa nchi ipo mikononi mwenu, hausiki hata chembe na sisi Sukuma gang hatuna chama,hatumsupport yeyote maana wote nyinyi kuanzia kina Gambo, Mwigulu, Dialo n.k mmeshiriki kumtusi mpaka Basi.
Ila Karma is a bitch,Ukizoea kula nyama ya mtu hutoacha na mbona mmeanza kushikiana visu mapema?
Mkuu no2 no sawa 100℅Jarida la The African Intelligence liliripoti wiki iliyopita kuwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete ndio mshauri mkuu asiye rasmi wa Rais Samia na anatumia ushawishi wake kusukuma agenda za uongozi wake zilizopigwa chini na Magufuli kama mradi wa Bagamoyo.
Jarida lengine la the Africa Report liligusia habari hii na kujaribu kuchambua kama Rais Samia ni Rais au kivuli cha Rais mstaafu Kikwete. Jaridi hili limetumia vyanzo vyao vya siri ambao vimewaeleza kuwa Kikwete amekua na ushawishi kwa Samia hususani kwenye maswala ya jumuiya ya kimataifa na Covid-19.
The Economist Intelligence Unit pia hivi karibuni liliripoti kuwa kuna watu ndani ya CCM, na baadhi ya vyombo vya usalama ndivyo vinaongoza nchi na Samia ni kama Rais mbele za watu, ila hana nguvu ya kufanya maamuzi yenye "substance".
Jana CNN walicover story ya Mbowe kupewa kesi ya Ugaidi. Mmoja wa wachambuzi (ambae alikuwa mmoja ya watu wa mwanzoni kabisa kutoa taarifa ya Magufuli kuumwa) alitabainisha mambo mawili.
1. Yaweza kuwa Samia ni kweli kabadilika na anataka kuonyesha nguvu yake kama Rais kwa kutumia mbinu za kidikteta za Magufuli.
2. Yawezekana watiifu wa serikali ya Magufuli wamegomea mabadiliko Samia anayotaka kufanya na wanapush back. Akasema Samia anaweza kuwa ameshindwa kucontrol serikali yake na viemelea vya serikali ya JPM kwenye usalama, chama na jeshi vinaendesha nchi.
Kuna baadhi ya viongozi kama Zitto Kabqe na Fatma Karume walishaanza kuona dalili za Rais kuendeshwa toka mwanzoni.
Soma hii habari
Opera News - Neuesten Nachrichten In Germany-German | Aktuelle Nachrichten
Neuesten Germany-German Nachrichten auf OperaNewsApp.com bekommen: Aktuelle Nachrichten und Videos in Germany-German , Fußballnachrichten, Politik, Sport, Unterhaltung, Technik, Handel.ke.opera.news
Hizi tuhuma zinafikirisha sana. Je nani anaendesha nchi? Tuna Rais kivuli? Kama ni kweli Samia anakubalije jina lake lichafuliwe? Kama ni kweli maamuzi hafanyi yy kwanini asiachie ngazi?
Tusubiri tuone tunaelekea wapi.
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Dialo alimaliza mjadala kuhusu jiwe, usitake tufufue mjadala tuonekane tunadharau wazee waliojidharau wenyewe.Nikiwa kama SUKUMA GANG,ninasema hivii MPAMBANE NA HALI ZENU,Msoga/CDM/wanaharakati uchwara wazee wa mama anaupiga mwingi.Endeleeni na sinema zenu za kufuta legacy.
Ila tunawakumbusha tu, JPM was a president na nusu.
Kwa Sasa nchi ipo mikononi mwenu, hausiki hata chembe na sisi Sukuma gang hatuna chama,hatumsupport yeyote maana wote nyinyi kuanzia kina Gambo, Mwigulu, Dialo n.k mmeshiriki kumtusi mpaka Basi.
Ila Karma is a bitch,Ukizoea kula nyama ya mtu hutoacha na mbona mmeanza kushikiana visu mapema?
Jarida la The African Intelligence liliripoti wiki iliyopita kuwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete ndio mshauri mkuu asiye rasmi wa Rais Samia na anatumia ushawishi wake kusukuma agenda za uongozi wake zilizopigwa chini na Magufuli kama mradi wa Bagamoyo.
Jarida lengine la the Africa Report liligusia habari hii na kujaribu kuchambua kama Rais Samia ni Rais au kivuli cha Rais mstaafu Kikwete. Jaridi hili limetumia vyanzo vyao vya siri ambao vimewaeleza kuwa Kikwete amekua na ushawishi kwa Samia hususani kwenye maswala ya jumuiya ya kimataifa na Covid-19.
The Economist Intelligence Unit pia hivi karibuni liliripoti kuwa kuna watu ndani ya CCM, na baadhi ya vyombo vya usalama ndivyo vinaongoza nchi na Samia ni kama Rais mbele za watu, ila hana nguvu ya kufanya maamuzi yenye "substance".
Jana CNN walicover story ya Mbowe kupewa kesi ya Ugaidi. Mmoja wa wachambuzi (ambae alikuwa mmoja ya watu wa mwanzoni kabisa kutoa taarifa ya Magufuli kuumwa) alitabainisha mambo mawili.
1. Yaweza kuwa Samia ni kweli kabadilika na anataka kuonyesha nguvu yake kama Rais kwa kutumia mbinu za kidikteta za Magufuli.
2. Yawezekana watiifu wa serikali ya Magufuli wamegomea mabadiliko Samia anayotaka kufanya na wanapush back. Akasema Samia anaweza kuwa ameshindwa kucontrol serikali yake na viemelea vya serikali ya JPM kwenye usalama, chama na jeshi vinaendesha nchi.
Kuna baadhi ya viongozi kama Zitto Kabqe na Fatma Karume walishaanza kuona dalili za Rais kuendeshwa toka mwanzoni.
Soma hii habari
Opera News - Neuesten Nachrichten In Germany-German | Aktuelle Nachrichten
Neuesten Germany-German Nachrichten auf OperaNewsApp.com bekommen: Aktuelle Nachrichten und Videos in Germany-German , Fußballnachrichten, Politik, Sport, Unterhaltung, Technik, Handel.ke.opera.news
Hizi tuhuma zinafikirisha sana. Je nani anaendesha nchi? Tuna Rais kivuli? Kama ni kweli Samia anakubalije jina lake lichafuliwe? Kama ni kweli maamuzi hafanyi yy kwanini asiachie ngazi?
Tusubiri tuone tunaelekea wapi.
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Magufuli alishawahi sema, mimi ni jiwe, sipangiwi
Maneno yako yamezoeleka humu jukwaani ni wale wale mashujaa wa nyuma ya keyboard.Sina namna ya kukusaidia ili uone CCM itakapolazwa chini kuashiria mwisho wa utawala wa siasa za kiCCM...
Wewe uko Kundi la kuona kisha ndipo uamini. Sikulaumu. Subiri uone, kisha ndipo uamini....
Wenzako sisi tumeshaona kwa njia ya kuamini kwa kutazama hali halisi na mazingira yenye viashiria vyote vya kifo cha CCM...
Tutaonana huko mbeleni ukibaikiwa kufika...
Wewe ndio hujui uliandikalo. Mtu aliyeishi na chombo karibu na moyo kwa zaidi ya miaka kumi hawezi kuwa amekufa kizembe.Hujui lolote ndugu.
Ningekuambia mengi lakini siwezi kumwaga mtama.
Magufuli kafa na kila kitu chake kimekufa.hana alicho acha,hakua na mtandao wala hicho unachoita kivuli.
Angekua Ana kivuli asingekufa kizembe vile.
Rais hafi vile bana.
Siyo kweli kuwa umeyazoea...Maneno yako yamezoeleka humu jukwaani ni wale wale mashujaa wa nyuma ya keyboard.
Wanaharakati wa ndani ya vyumba. CCM imejijenga tangu 1977 sio Chama chepesi Kinajua mbinu safi na chafu ni kikongwe.
Nilikuwa naamini wanawake wanaweza kuendesha nchi hii Ila bado sana. Huyu mama had nothing to lose sababu hajagombea Urais, angeweza kutumia miaka hii minne kurekebisha kila kilichokaa vibaya halafu akastaafu zake after four years au hata akigombea sasa Ila itakuwa amenyoosha Mambo.Jarida la The African Intelligence liliripoti wiki iliyopita kuwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete ndio mshauri mkuu asiye rasmi wa Rais Samia na anatumia ushawishi wake kusukuma agenda za uongozi wake zilizopigwa chini na Magufuli kama mradi wa Bagamoyo.
Jarida lengine la the Africa Report liligusia habari hii na kujaribu kuchambua kama Rais Samia ni Rais au kivuli cha Rais mstaafu Kikwete. Jaridi hili limetumia vyanzo vyao vya siri ambao vimewaeleza kuwa Kikwete amekua na ushawishi kwa Samia hususani kwenye maswala ya jumuiya ya kimataifa na Covid-19.
The Economist Intelligence Unit pia hivi karibuni liliripoti kuwa kuna watu ndani ya CCM, na baadhi ya vyombo vya usalama ndivyo vinaongoza nchi na Samia ni kama Rais mbele za watu, ila hana nguvu ya kufanya maamuzi yenye "substance".
Jana CNN walicover story ya Mbowe kupewa kesi ya Ugaidi. Mmoja wa wachambuzi (ambae alikuwa mmoja ya watu wa mwanzoni kabisa kutoa taarifa ya Magufuli kuumwa) alitabainisha mambo mawili.
1. Yaweza kuwa Samia ni kweli kabadilika na anataka kuonyesha nguvu yake kama Rais kwa kutumia mbinu za kidikteta za Magufuli.
2. Yawezekana watiifu wa serikali ya Magufuli wamegomea mabadiliko Samia anayotaka kufanya na wanapush back. Akasema Samia anaweza kuwa ameshindwa kucontrol serikali yake na viemelea vya serikali ya JPM kwenye usalama, chama na jeshi vinaendesha nchi.
Kuna baadhi ya viongozi kama Zitto Kabqe na Fatma Karume walishaanza kuona dalili za Rais kuendeshwa toka mwanzoni.
Soma hii habari
Opera News - Neuesten Nachrichten In Germany-German | Aktuelle Nachrichten
Neuesten Germany-German Nachrichten auf OperaNewsApp.com bekommen: Aktuelle Nachrichten und Videos in Germany-German , Fußballnachrichten, Politik, Sport, Unterhaltung, Technik, Handel.ke.opera.news
Hizi tuhuma zinafikirisha sana. Je nani anaendesha nchi? Tuna Rais kivuli? Kama ni kweli Samia anakubalije jina lake lichafuliwe? Kama ni kweli maamuzi hafanyi yy kwanini asiachie ngazi?
Tusubiri tuone tunaelekea wapi.
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app