Je, Samia ni Rais kivuli kama inavyodaiwa na vyombo vya habari vya nje?

Siyo kweli kuwa umeyazoea...

Tuliwaambia hata wakati wa Mwendazake Magufuli. Tuluwaambia hatafika mbali huyu kwa tabia na mwenendo wake...

Yuko wapi?

Mwisho wa Magufuli ni indicator ya mwisho ya utawala na siasa za CCM Tanzania...

Samia Suluhu anakwenda kuhitumisha anguko hili. Kwanini huwezi kuona hili Bukililo?
Anguko la humu jukwaani huko mtaani bado sana CCM ipo na simuoni mwanasiasa mwenye haiba nzito na ubunifu wa kuja na kipya huko upinzani.

Magufuli alikuwa binadamu na siku zote maisha haya yana mwisho kwa kila mtu. Alikuwa ni mtu wa miaka 61 hakuwa kijana wa miaka 25.
 
Jarida la The African Intelligence liliripoti wiki iliyopita kuwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete ndio mshauri mkuu asiye rasmi wa Rais Samia na anatumia ushawishi wake kusukuma agenda za uongozi wake zilizopigwa chini na Magufuli kama mradi wa Bagamoyo.

Jarida lengine la the Africa Report liligusia habari hii na kujaribu kuchambua kama Rais Samia ni Rais au kivuli cha Rais mstaafu Kikwete. Jaridi hili limetumia vyanzo vyao vya siri ambao vimewaeleza kuwa Kikwete amekua na ushawishi kwa Samia hususani kwenye maswala ya jumuiya ya kimataifa na Covid-19.

The Economist Intelligence Unit pia hivi karibuni liliripoti kuwa kuna watu ndani ya CCM, na baadhi ya vyombo vya usalama ndivyo vinaongoza nchi na Samia ni kama Rais mbele za watu, ila hana nguvu ya kufanya maamuzi yenye "substance".

Jana CNN walicover story ya Mbowe kupewa kesi ya Ugaidi. Mmoja wa wachambuzi (ambae alikuwa mmoja ya watu wa mwanzoni kabisa kutoa taarifa ya Magufuli kuumwa) alitabainisha mambo mawili.

1. Yaweza kuwa Samia ni kweli kabadilika na anataka kuonyesha nguvu yake kama Rais kwa kutumia mbinu za kidikteta za Magufuli.

2. Yawezekana watiifu wa serikali ya Magufuli wamegomea mabadiliko Samia anayotaka kufanya na wanapush back. Akasema Samia anaweza kuwa ameshindwa kucontrol serikali yake na viemelea vya serikali ya JPM kwenye usalama, chama na jeshi vinaendesha nchi.

Kuna baadhi ya viongozi kama Zitto Kabqe na Fatma Karume walishaanza kuona dalili za Rais kuendeshwa toka mwanzoni.

Soma hii habari


Hizi tuhuma zinafikirisha sana. Je nani anaendesha nchi? Tuna Rais kivuli? Kama ni kweli Samia anakubalije jina lake lichafuliwe? Kama ni kweli maamuzi hafanyi yy kwanini asiachie ngazi?

Tusubiri tuone tunaelekea wapi.

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
samia ni bendera fata upepo amri zote zinatoka kanisani
 
Sina namna ya kukusaidia ili uone CCM itakapolazwa chini kuashiria mwisho wa utawala wa siasa za kiCCM...

Wewe uko Kundi la kuona kisha ndipo uamini. Sikulaumu. Subiri uone, kisha ndipo uamini....

Wenzako sisi tumeshaona kwa njia ya kuamini kwa kutazama hali halisi na mazingira yenye viashiria vyote vya kifo cha CCM...

Tutaonana huko mbeleni ukibaikiwa kufika...
Kuna sense inaniambia hata hizi ziara ziara za huyu mama huko nje ni mpango mkakati wa inner cycle kwa ajili ya kuratibu mambo yao fulani fulani ambayo sio kwa ajili ya manufaa ya nchi akiwa hayupo nje ya mipaka ya Tanzania.
Sema nini kuna dalili huko baadaye ndoa takatifu ya vyombo vya usalama kama jeshi na wahafidhina wa ccm ikafa. Guess what A coup d etat
 
Jarida la The African Intelligence liliripoti wiki iliyopita kuwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete ndio mshauri mkuu asiye rasmi wa Rais Samia na anatumia ushawishi wake kusukuma agenda za uongozi wake zilizopigwa chini na Magufuli kama mradi wa Bagamoyo.

Jarida lengine la the Africa Report liligusia habari hii na kujaribu kuchambua kama Rais Samia ni Rais au kivuli cha Rais mstaafu Kikwete. Jaridi hili limetumia vyanzo vyao vya siri ambao vimewaeleza kuwa Kikwete amekua na ushawishi kwa Samia hususani kwenye maswala ya jumuiya ya kimataifa na Covid-19.

The Economist Intelligence Unit pia hivi karibuni liliripoti kuwa kuna watu ndani ya CCM, na baadhi ya vyombo vya usalama ndivyo vinaongoza nchi na Samia ni kama Rais mbele za watu, ila hana nguvu ya kufanya maamuzi yenye "substance".

Jana CNN walicover story ya Mbowe kupewa kesi ya Ugaidi. Mmoja wa wachambuzi (ambae alikuwa mmoja ya watu wa mwanzoni kabisa kutoa taarifa ya Magufuli kuumwa) alitabainisha mambo mawili.

1. Yaweza kuwa Samia ni kweli kabadilika na anataka kuonyesha nguvu yake kama Rais kwa kutumia mbinu za kidikteta za Magufuli.

2. Yawezekana watiifu wa serikali ya Magufuli wamegomea mabadiliko Samia anayotaka kufanya na wanapush back. Akasema Samia anaweza kuwa ameshindwa kucontrol serikali yake na viemelea vya serikali ya JPM kwenye usalama, chama na jeshi vinaendesha nchi.

Kuna baadhi ya viongozi kama Zitto Kabqe na Fatma Karume walishaanza kuona dalili za Rais kuendeshwa toka mwanzoni.

Soma hii habari


Hizi tuhuma zinafikirisha sana. Je nani anaendesha nchi? Tuna Rais kivuli? Kama ni kweli Samia anakubalije jina lake lichafuliwe? Kama ni kweli maamuzi hafanyi yy kwanini asiachie ngazi?

Tusubiri tuone tunaelekea wapi.

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Kamuulize mbowe na lile kundi lake ndio utapata majibu
 
Wakuu wa Majeshi ya ulinzi ndo wanaongoza nchi hii hasa kwa Kumtishia maisha Mama Samia Suluhu Hassan
1.Inspector General of police(IGP)
- Simon Sirro
2.Commander of defence force(CDF)
- Venance Mabeyo
Hii ni legacy ya Magufuli
She's under siege,international community has to intervene
 
Yote haya ni police kutamka mh.Mbowe anatuhuma ya ugaidi ikakolezea huwa anaratibu kupanga njama za kuua viongoz wa juu wa serikali.Kitu cha siku mbili tu tumechafuka kimataifa.Mbowe ni nani?
 
Yote haya ni police kutamka mh.Mbowe anatuhuma ya ugaidi ikakolezea huwa anaratibu kupanga njama za kuua viongoz wa juu wa serikali.Kitu cha siku mbili tu tumechafuka kimataifa.Mbowe ni nani?
MATAGA mlipanga kumchafua Mbowe, ila kimataifa nyie ndo mmejichafua wenyewe
 
Kuna sense inaniambia hata hizi ziara ziara za huyu mama huko nje ni mpango mkakati wa inner cycle kwa ajili ya kuratibu mambo yao fulani fulani ambayo sio kwa ajili ya manufaa ya nchi akiwa hayupo nje ya mipaka ya Tanzania.
Sema nini kuna dalili huko baadaye ndoa takatifu ya vyombo vya usalama kama jeshi na wahafidhina wa ccm ikafa. Guess what A coup d etat
Amka mkuu kumeshakucha huko nje. Mapinduzi sio kwa jeshi hili ambao baadhi yao wanapewa vyeo vya ukuu wa mikoa na wilaya.
 
EeeenHeee,

Mambo ni mazito, kwa sababu yanahusu hatma ya Tanzania yetu, vinginevyo tungesema 'movie' na iendeleee!

Hata mimi ningesema "Ila tunawakumbusha tu, JPM was a president na nusu"; ..., tena ningeyatamka maneno hayo kwa furaha kubwa kabisa kuyaunga mkono, kama Magufuli asingekuwa na yale makandondokando mabovu kabisa yaliyoharibu kila kitu chema alichokuwa anataka kukifanyia taifa hili.
Ni Magufuli pekee ndiye angeweza kuirekebisha CCM kutoka huko shimoni ilikoangukia nha kuirudisha kwenye mstari bila ya mtu yeyote ndani ya chama kuguna, lakini udhaifu wake haukumruhusu kufanya hivyo.

Haya tunayoyashuhudia sasa hivi ni matokeo ya baadhi ya hayo yaliyomshinda kuyafanya.
Kwa hiyo, huo "...JPM kuwa president, and a half", is simply a myth!
Sasa kama alikuwa na makandokando mengine ambayo yalikuwa mengi sana anakuwaje president na nusu? Hapo hakuna kitu! Lilikuwa jamaa moja la hovyo hovyo tu!
 
Nilikuwa naamini wanawake wanaweza kuendesha nchi hii Ila bado sana. Huyu mama had nothing to lose sababu hajagombea Urais, angeweza kutumia miaka hii minne kurekebisha kila kilichokaa vibaya halafu akastaafu zake after four years au hata akigombea sasa Ila itakuwa amenyoosha Mambo.

Ila hakuna anachofanya, hii aina ya approach sio za mama ni approach za kibabe ambazo ni za kiume kabisa sio yeye ndio maana yanatokea haya we unaona anasepa nje ya nchi, meaning kwamba kuna wanaoendesha hayo amewaachia wasimamie yeye anaenda kuzurura
Nalo kama halijielewi shauri ya lenyewe! Linakubali kuburuzwa kama lina mtindo!
 
Sasa kama alikuwa na makandokando mengine ambayo yalikuwa mengi sana anakuwaje president na nusu? Hapo hakuna kitu! Lilikuwa jamaa moja la hovyo hovyo tu!
Naona wewe ni mpita njia na wala huna muda wa kusoma na kuelewa kilichoandikwa kabla hujabandika mawazo yako ambayo hayaendani kabisa na ulichosoma.
Unapotezea watu muda.
 
Jarida la The African Intelligence liliripoti wiki iliyopita kuwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete ndio mshauri mkuu asiye rasmi wa Rais Samia na anatumia ushawishi wake kusukuma agenda za uongozi wake zilizopigwa chini na Magufuli kama mradi wa Bagamoyo.

Jarida lengine la the Africa Report liligusia habari hii na kujaribu kuchambua kama Rais Samia ni Rais au kivuli cha Rais mstaafu Kikwete. Jaridi hili limetumia vyanzo vyao vya siri ambao vimewaeleza kuwa Kikwete amekua na ushawishi kwa Samia hususani kwenye maswala ya jumuiya ya kimataifa na Covid-19.

The Economist Intelligence Unit pia hivi karibuni liliripoti kuwa kuna watu ndani ya CCM, na baadhi ya vyombo vya usalama ndivyo vinaongoza nchi na Samia ni kama Rais mbele za watu, ila hana nguvu ya kufanya maamuzi yenye "substance".

Jana CNN walicover story ya Mbowe kupewa kesi ya Ugaidi. Mmoja wa wachambuzi (ambae alikuwa mmoja ya watu wa mwanzoni kabisa kutoa taarifa ya Magufuli kuumwa) alitabainisha mambo mawili.

1. Yaweza kuwa Samia ni kweli kabadilika na anataka kuonyesha nguvu yake kama Rais kwa kutumia mbinu za kidikteta za Magufuli.

2. Yawezekana watiifu wa serikali ya Magufuli wamegomea mabadiliko Samia anayotaka kufanya na wanapush back. Akasema Samia anaweza kuwa ameshindwa kucontrol serikali yake na viemelea vya serikali ya JPM kwenye usalama, chama na jeshi vinaendesha nchi.

Kuna baadhi ya viongozi kama Zitto Kabqe na Fatma Karume walishaanza kuona dalili za Rais kuendeshwa toka mwanzoni.

Soma hii habari


Hizi tuhuma zinafikirisha sana. Je nani anaendesha nchi? Tuna Rais kivuli? Kama ni kweli Samia anakubalije jina lake lichafuliwe? Kama ni kweli maamuzi hafanyi yy kwanini asiachie ngazi?

Tusubiri tuone tunaelekea wapi.

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Mkuu huyu Amsterdam mwanamke toka lini amekuwa kiongozi? kiongozi wa nini?
 
Hao wasimtishe Rais wetu, kila kiongozi anayeamua mambo kwa faida ya nchi na raia wake ilimradi anagusa maslahi yao basi kwao atatungiwa jina wanalolipenda wao...Shame on them!
 
Mtajua hamjui nyie wapinzani uchwara.
Hawa jamaa ni kituko Sana . mama akiwakamia wanamlaumu kuwa ni dikteta. Akikaa kimya wanaanza conspiracy zao Mara ooh nchi inaongozwa na jk. Kama ni hivyo basi wanapowekwa ndani wawe wanamlaumu jk kuwa ndo kawaweka.
 
Nikiwa kama SUKUMA GANG,ninasema hivii MPAMBANE NA HALI ZENU,Msoga/CDM/wanaharakati uchwara wazee wa mama anaupiga mwingi.Endeleeni na sinema zenu za kufuta legacy.

Ila tunawakumbusha tu, JPM was a president na nusu.

Kwa Sasa nchi ipo mikononi mwenu, hausiki hata chembe na sisi Sukuma gang hatuna chama,hatumsupport yeyote maana wote nyinyi kuanzia kina Gambo, Mwigulu, Dialo n.k mmeshiriki kumtusi mpaka Basi.

Ila Karma is a bitch,Ukizoea kula nyama ya mtu hutoacha na mbona mmeanza kushikiana visu mapema?

Tushikiane visu kwa ajili ya yule dhalimu aliyeko motoni?
 
Back
Top Bottom