Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Julius Nyerere :
Kuwaunganisha watanzania kupitia kiswahili na ujamaa ili kuondoa matabaka na ubaguzi wa kikabila, dini na rangi.
Ali Hasani Mwinyi:
Biashara huria , Sekta binafsi zikapata uhuru wa kufanya biashara.
Benjamini Mkapa:
Ubinafshaji wa mashirika ya umma na kuruhusu uwazi katika utendaji wa serikali.
JAKAYA kikwete:
Uboreshaji wa demokrasia, Elimu na kuwaongezea wananchi kupata access za fedha, mawasiliano na kula bata.
Joseph Magufuli:
Ujenzi wa miundombinu na majengo ya Serikali.
Rais awamu ya sita? Kwa hali ilivyo sasa kamamitaendelea hadi 2025.. Je Rais wetu wa awamu ya sita atatakiwa kujikita kwenye agenda ipi ili nchi ifike inapo stahili kufika?
Kuwaunganisha watanzania kupitia kiswahili na ujamaa ili kuondoa matabaka na ubaguzi wa kikabila, dini na rangi.
Ali Hasani Mwinyi:
Biashara huria , Sekta binafsi zikapata uhuru wa kufanya biashara.
Benjamini Mkapa:
Ubinafshaji wa mashirika ya umma na kuruhusu uwazi katika utendaji wa serikali.
JAKAYA kikwete:
Uboreshaji wa demokrasia, Elimu na kuwaongezea wananchi kupata access za fedha, mawasiliano na kula bata.
Joseph Magufuli:
Ujenzi wa miundombinu na majengo ya Serikali.
Rais awamu ya sita? Kwa hali ilivyo sasa kamamitaendelea hadi 2025.. Je Rais wetu wa awamu ya sita atatakiwa kujikita kwenye agenda ipi ili nchi ifike inapo stahili kufika?