MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Mkuu wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) Ally Hapi anatoa Ahadi za Tsh Milioni 10 na Kuzigawa hovyo kwa Wachezaji Wapuuzi wa Biashara United FC ili waifunge Simba SC wakati pale pale Mjini tena Jirani na Ofisi yake kuna Shule Mbili hazina Madawati na Watoto wanaandikia wakiwa Sakafuni.
Mbunge wa Dodoma Mjini Antony Mavunde ( CCM ) bila hata Aibu ( Haya ) anatoa Ahadi ya Tsh Milioni 15 wakishinda na Tsh Milioni 10 wakitoka Sare au Suluhu na Simba SC kwa Wachezaji Wahuni na Magaidi wa Dodoma Jiji FC wakati 65% ya Wakazi wa Jimbo lake hawana Maji na Vyoo vyao Vimejaa mpaka wanakimbilia Kujisaidia Haja Kubwa ( Kunya ) katika Vyoo vya Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM ) au katika Hostels za Wanafunzi hao.
Mama ( Rais ) fukuza huyo Ally Hapi kama Mkuu wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) na ikikupendeza pia ukijiandaa Kugombea Urais 2025 achana rasmi na huyu Mbunge wa Dodoma Mjini Antony Mavunde kwani hafai kuwa Mbunge na ataigharimu CCM yako ( yetu ) kwakuwa hajali Wananchi bali anawajali zaidi Wachezaji Makatili wa Klabu yake ya Dodoma Jiji FC tu
Mbunge wa Dodoma Mjini Antony Mavunde ( CCM ) bila hata Aibu ( Haya ) anatoa Ahadi ya Tsh Milioni 15 wakishinda na Tsh Milioni 10 wakitoka Sare au Suluhu na Simba SC kwa Wachezaji Wahuni na Magaidi wa Dodoma Jiji FC wakati 65% ya Wakazi wa Jimbo lake hawana Maji na Vyoo vyao Vimejaa mpaka wanakimbilia Kujisaidia Haja Kubwa ( Kunya ) katika Vyoo vya Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM ) au katika Hostels za Wanafunzi hao.
Mama ( Rais ) fukuza huyo Ally Hapi kama Mkuu wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) na ikikupendeza pia ukijiandaa Kugombea Urais 2025 achana rasmi na huyu Mbunge wa Dodoma Mjini Antony Mavunde kwani hafai kuwa Mbunge na ataigharimu CCM yako ( yetu ) kwakuwa hajali Wananchi bali anawajali zaidi Wachezaji Makatili wa Klabu yake ya Dodoma Jiji FC tu