MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
Mbona FARUJONI hayupo hapo??mhh Wanyama wengi kwenye picha moja
Mbona FARUJONI hayupo hapo??mhh Wanyama wengi kwenye picha moja
Faru Joni wapikwani ujamuona juu kulia? au unatutafuta maneno sisi TANAPA tuonekane atufanyi kazi?
yupo mkuu we angalia vizuriMbona FARUJONI hayupo hapo??
Naona kama vile ni kaazi ya Msigwa hiyo!!
Ogopa kiongozi ambaye daima hutafuta pa kutupia lawamaHalaf huwa nashangaa,kwani tulishawah kupewa vya Bure?
Naona mambo ya pesa yanahusishwa sana na wapiga dili ila mie napingaOgopa kiongozi ambaye daima hutafuta pa kutupia lawama
Halafu hiyo lugha yao ya kishamba kwamba " HAKUNA CHA BURE " tusipoikemea wataendelea kuibwabwaja , HIVI NI MWAKA GANI SERIKALI YA CCM ILIWAGAWIA WANANCHI VITU VYA BURE ?Simulizi ni zile zile tu.. Wafanyakazi hewa,tuchape kazi,hakuna cha bure nk..
Unataka kuanza mwaka na mawazo?
Mmh!! Ngoja nifunge domo langukwani ujamuona juu kulia? au unatutafuta maneno sisi TANAPA tuonekane atufanyi kazi?
Suluhisho la malalamiko yenu yote ni moja tu nalo ni jina yaani COWBOYWanajamvi wa JF,
Wakati Marais wa Africa Mashariki leo WAMEHUTUBIA wananchi wao kupitia Radio na Televisheni wakigusia mafanikio na changamoto na nini wanataka kutimiza mwaka wa 2017.
Mimi sijamsikia rais Magufuli akiongea nasi leo sijui ni kwa nini.
RWANDA:
Rais Kagame aliongea kuhusu mafanikio yake akiwaambia VIONGOZI kuwa WANANCHI wana HAKI ya kuuliza MASWALI na KUPEWA MAJIBU ipasavyo pasipo KUSUMBULIWA ili wewe kiongozi uwasaidie.
Wananchi ni HAKI yao kupata HUDUMA BORA na hilo wewe kama kiongozi ni lazima UWAJIBIKE.
UGANDA:
Rais Museveni alianza kwa kutoa RAMBIRAMBI kwa wananchi wote wa Uganda waliofiwa na wapendwa wao mwaka uliopita wa 2016.
Akizungumzia nini atafanya mwaka huu wa 2017 alisema nchi inachangamoto ya maji safi.Na mwaka huu ataweka Water schemes/Maji MABWAWA/ VISIMA katika sehemu100 alizozitaja zitakazotoondoa TATIZO la maji na UMWAGILIAJI nchini mwake.
Aligusia kufufuliwa kwa shirika la ndege na kuhakikisha maisha ya wananchi yana BOREKA zaidi. Aligusia Uchumi, Mafuta na KUSHUSHA gharama za UMEME nk.
KENYA:
Rais Kenyatta aliwashukuru wananchi na kuwatakia mwaka mpya wa baraka. Huku akiwaambia WAPINZANI, "Tufanye kazi pamoja bila kugonganisha wananchi.CHAGUZI huja na kwenda taifa hubaki"
Aliwaambia kwa kuwa ni mwaka wa uchaguzi watu waombe kura kwa amani bila mivurugano.
Kuhusu UFISADI aliwaambia wananchi "Mtaanza kuona watu WAKIFUNGWA" hasa kwa sababu JAJI MKUU mpya ana ARI na NIA ya kupambana na UFISADI.
TANZANIA:
2017 Rais Magufuli HAKUTUHUTUBIA ili tumsikilize kama TAIFA ili KUTUPATIA mwelekeo wa mwaka 2017
Hata jamani kutuambia TUFANYE nini ama serikali inafanya nini ili kuzikabili changamoto tulizonazo kama taifa na KUTUPA MATUMAINI tunapoingia mwaka 2017?
Ni nini kinaendelea ama it is NOT that important?
Kila Rais anapoingia madarakani huwa ana taratibu zake za kuongoza nchi na isitoshe yuko ziarani Mkoani kagera ambako atahutubia Taifa, sasa ulitaka arudie rudie Hotuba?Wanajamvi wa JF,
Wakati Marais wa Africa Mashariki leo WAMEHUTUBIA wananchi wao kupitia Radio na Televisheni wakigusia mafanikio na changamoto na nini wanataka kutimiza mwaka wa 2017.
Mimi sijamsikia rais Magufuli akiongea nasi leo sijui ni kwa nini.
RWANDA:
Rais Kagame aliongea kuhusu mafanikio yake akiwaambia VIONGOZI kuwa WANANCHI wana HAKI ya kuuliza MASWALI na KUPEWA MAJIBU ipasavyo pasipo KUSUMBULIWA ili wewe kiongozi uwasaidie.
Wananchi ni HAKI yao kupata HUDUMA BORA na hilo wewe kama kiongozi ni lazima UWAJIBIKE.
UGANDA:
Rais Museveni alianza kwa kutoa RAMBIRAMBI kwa wananchi wote wa Uganda waliofiwa na wapendwa wao mwaka uliopita wa 2016.
Akizungumzia nini atafanya mwaka huu wa 2017 alisema nchi inachangamoto ya maji safi.Na mwaka huu ataweka Water schemes/Maji MABWAWA/ VISIMA katika sehemu100 alizozitaja zitakazotoondoa TATIZO la maji na UMWAGILIAJI nchini mwake.
Aligusia kufufuliwa kwa shirika la ndege na kuhakikisha maisha ya wananchi yana BOREKA zaidi. Aligusia Uchumi, Mafuta na KUSHUSHA gharama za UMEME nk.
KENYA:
Rais Kenyatta aliwashukuru wananchi na kuwatakia mwaka mpya wa baraka. Huku akiwaambia WAPINZANI, "Tufanye kazi pamoja bila kugonganisha wananchi.CHAGUZI huja na kwenda taifa hubaki"
Aliwaambia kwa kuwa ni mwaka wa uchaguzi watu waombe kura kwa amani bila mivurugano.
Kuhusu UFISADI aliwaambia wananchi "Mtaanza kuona watu WAKIFUNGWA" hasa kwa sababu JAJI MKUU mpya ana ARI na NIA ya kupambana na UFISADI.
TANZANIA:
2017 Rais Magufuli HAKUTUHUTUBIA ili tumsikilize kama TAIFA ili KUTUPATIA mwelekeo wa mwaka 2017
Hata jamani kutuambia TUFANYE nini ama serikali inafanya nini ili kuzikabili changamoto tulizonazo kama taifa na KUTUPA MATUMAINI tunapoingia mwaka 2017?
Ni nini kinaendelea ama it is NOT that important?
Mkuu unaulizia kwa wrong person! Kumbuka hayo yote wameyacreate wao. Ila kwa Mh usitegemee faraja zaidi ya machunguMkuu swali lako ni zuri sana.
Unajua inatiaga moyo sana wakati kiongozi analipa taifa MATUMAINI.
Hasa ukiangalia kuwa watu wanalia,
Mara UCHUMI ni mbaya
Mara AJIRA hakuna,
Mara freeze ya PROMOTIONS,
Mara MIKOPO.
Mambo kama haya ni CHANGAMOTO zinazohitaji JIBU na suluhisho na TUMAINI Kisiasa na Kiutawala.
Kama viongozi wote duniani including Papa Francis ametoa na kuwapa matumaini waumini wake sembuse na sisi?
Hii hutolewa kabla ya mwaka haujaingia.
Hizo ni kauli za kuhalalisha ugumu wa maisha wa baadhi ya watanzania..Halafu hiyo lugha yao ya kishamba kwamba " HAKUNA CHA BURE " tusipoikemea wataendelea kuibwabwaja , HIVI NI MWAKA GANI SERIKALI YA CCM ILIWAGAWIA WANANCHI VITU VYA BURE ?