HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,077
- 1,392
Falasana weweNdio kitu mnachokumbuka na kupigania kirudi tena. Zile safari za kila mwezi za Ulaya na Marekani. Kuhudhuria kuanzia mkutano wa kunguni, nzi, mbu na hata viroboto. Mnaweza kutuonyesha kitu gani kikubwa kilifanyika mpaka muanze kutuaminisha kwamba bila kwenda huko kwenye hiyo mikutano tunakosa kitu kikubwa?
Endelezeni ujeuriSiamini kama UN General Assembly kama ni muarobaini wa mahitaji ama matatizo uliyoolozesha.
UN haina meno,wenye meno ni mataifa makubwa machache tajiri.nchi kama zetu bila juhudi binafsi hazitasonga mbele,ni kazi za wasaidizi wa rais kuyafanya hayo usemayo,wakiwemo mabalozi
Wanasema amefanana na babu yetu .Mkuu, hata Nyerere alikuwa akienda hizi safari za UN, si mnasema Magufuri kama Nyerere, vipi tena basi kwenye nyanja hii muhimu ya Diplomasia mbona hafuati nyayo?
Kikao cha UN General assembly kinafanyika tena mwezi wa tisa mwaka huu kama ilivyo ada
Ni mwaka wa nne huu wa utawala wa Rais Magufuli hajawahi kusafiri kutoka nje ya Afrika, tofauti na watangulizi wake, Mheshimiwa Magufuli hajahudhuria kikao hata kimoja cha UN General assembly.
Kikawaida vikao vya General assmebly ni vikao vyenye hadhi ya wakuu wa nchi ambapo mambo mengi huzungumzwa pale lakini ukiacha mbali na hapo huwa ni nafasi nzuri kwa mkuu wa nchi mmoja kupata nafasi ya kuongea na kukubaliana mambo mengi ya maendeleo na wakuu wenzie wa nchi mbalimbali.
Kwa sasa mathalani zao letu la korosho limeyumba, huu ulikuwa ni muda muafaka wa raisi Magufuli kuongea na wakuu wenzie wenye viwanda na masoko ya korosho kuona Tanzania inaweza kunufaika vipi na fursa zilizoko kwao.
Lakini pia nchi yetu inahitaji uwekezaji mbalimbali wa mitaji, hii ni nafasi ya kukutana na wafanyabiashara wakubwa ambao hufunga safari kipindi hiki ili waweze kukutana na viongozi wa nchi mbalimbali kuzungumza masuala ya uwekezaji.
Pia kwa kuwa nchi yetu ina utalii basi hiyo pia ni fursa nzuri ya kuongea na wadau wa utalii na kuona namna gani tunaweza kuleta watalii wengi zaidi.
Swali langu ni kwamba Miaka minne Mheshimiwa Raisi hajaenda kukutana na Kiongozi yeyote wa Taifa kubwa na wala hajahudhuria kikao chochote cha UN General assembly.
Je safari hii itaenda?
Hawezi.What if akaenda yeye mwenyewe?
Bila hizo safari leo hii tusingekuwa na uwezo wa kupata hata ARVNdio kitu mnachokumbuka na kupigania kirudi tena. Zile safari za kila mwezi za Ulaya na Marekani. Kuhudhuria kuanzia mkutano wa kunguni, nzi, mbu na hata viroboto. Mnaweza kutuonyesha kitu gani kikubwa kilifanyika mpaka muanze kutuaminisha kwamba bila kwenda huko kwenye hiyo mikutano tunakosa kitu kikubwa?
Nashauri tutume mwakilishi
What if akaenda yeye mwenyewe?
Bila hizo safari leo hii tusingekuwa na uwezo wa kupata hata ARV
Wewe unatakiwa uriport kwa RC Chalamila. Ana prescription yakoMbona unaongea kwa woga? Funguka wewe acha kumbwelambwela! Tamka kimamlaka...nini hoja yako?
Nyerere aliandika "TUJISAHIHISHE"Mkuu, hata Nyerere alikuwa akienda hizi safari za UN, si mnasema Magufuri kama Nyerere, vipi tena basi kwenye nyanja hii muhimu ya Diplomasia mbona hafuati nyayo?
Mkuu Rogojin humu ndani kuna baadhi ya watu wanaandika kejeli kwa makusudi, wanajifanya wajinga lakini ni mbinu tu za kimajadiliano.Ndio usomi wetu ulipofika ukomo. Kuongea kiingereza, hata kama unachoongea ni shit tupu. Nchi yetu ni Zaidi ya mtu mmoja ambaye tunapenda kuona kama ndio sababu ya kila tatizo letu. Matatizo yetu hayapo mbali na sisi. yapo ndani ya kila mmoja wetu kwa nafasi yake. Unless tunayaanza hayo, kiingereza tutaongea lakini hakitupi status yoyote popote pale.
Hizi kelele ambazo ndani ni empty, hazimzuii tembo kunywa maji. Tuwe strategic
Huyu wa sasa azihitaji sana hizo safari za nje kama ambavyo mnajaribu kujenga hoja, huyu anayaishi maisha halisi ya kiuchumi. Kilichopo kinatumika kadri ya mahitaji yaliyopo.Mkuu, hata Nyerere alikuwa akienda hizi safari za UN, si mnasema Magufuri kama Nyerere, vipi tena basi kwenye nyanja hii muhimu ya Diplomasia mbona hafuati nyayo?
Hoja ya kipuuzi. Mtu kula sana ni ulafi. Na ulafi ni muhimu kupingwa. Lakini huwezi kuacha kula kwa kisingizio kuwa umeambiwa usiwe mlafi. Utakuwa huna akili.Ndio kitu mnachokumbuka na kupigania kirudi tena. Zile safari za kila mwezi za Ulaya na Marekani. Kuhudhuria kuanzia mkutano wa kunguni, nzi, mbu na hata viroboto. Mnaweza kutuonyesha kitu gani kikubwa kilifanyika mpaka muanze kutuaminisha kwamba bila kwenda huko kwenye hiyo mikutano tunakosa kitu kikubwa?
Usitoe hoja za kipuuzi.Nimuogope nani? Kuna lugha mtu akiongea unajua anasema kutokea nafasi gani. Uko shimoni. Hizi ni lugha za mkosaji. Toka lini kiingereza kimekuwa issue ya muhimu kwa political leaders?
Hata kama anajua kiingereza, akienda Russia na Ufaransa au China anafanyaje? Tunajua nguvi dola iliyonayo kwenye mambo ya diplomasia?