Je, Rais Magufuli atahudhuria kikao cha UN General Assembly cha mwaka huu?

Siamini kama UN General Assembly kama ni muarobaini wa mahitaji ama matatizo uliyoolozesha.
UN haina meno,wenye meno ni mataifa makubwa machache tajiri.nchi kama zetu bila juhudi binafsi hazitasonga mbele,ni kazi za wasaidizi wa rais kuyafanya hayo usemayo,wakiwemo mabalozi
Sasa si umshauri Tanzania ijitoe UN!! Mabalozi na wasaidizi wa Rais waende kufanya nini kwenye chombo kisicho na tija kwa Tanzania?
 
UN siku hizi kuna machine ya kutasfiri hata uongee lugha gani

swali ni UN assembly since when imekuwa na faida kwa waafrika? main agenda kule ni nini? ni kuleta maji Tandika na Tandale?

Un assembly iko for global issues ambazo zinajulikana within a minutes
Sasa si mkubwa anasema anapambana na mabeberu? Aende kutumia hiyo platform kusema hayo unayoyasema ili dunia itambue msimamo wa sasa wa Tanzania. Na alisemee pia hilo la UN kutokuwa na faida kwa Waafrika.

Aende ake-speak against the power kwenye masikio yao.
 
Mambo mengine tusilazimishe Sana hata Kim Jong wa Korea haendagi Sana sasa wewe unawashwa na nini kutaka was kwetu aende Kila Mara. Tulizana wao Kama wanatuhitaji Sana watakuja nyumbani Tanzania.

Au unataka kupindua nchi akienda?

Mambo mengine nyamaza tu.
Kwa hiyo Rocket man ndiyo idol wake?
 
Sasa si mkubwa anasema anapambana na mabeberu? Aende kutumia hiyo platform kusema hayo unayoyasema ili dunia itambue msimamo wa sasa wa Tanzania. Na alisemee pia hilo la UN kutokuwa na faida kwa Waafrika.

Aende ake-speak against the power kwenye masikio yao.

acha umaskini

no need of UN bana

au asipoenda wanamfanya nini?
 
Kikao cha UN General assembly kinafanyika tena mwezi wa tisa mwaka huu kama ilivyo ada
Ni mwaka wa nne huu wa utawala wa Rais Magufuli hajawahi kusafiri kutoka nje ya Afrika, tofauti na watangulizi wake, Mheshimiwa Magufuli hajahudhuria kikao hata kimoja cha UN General assembly.
Kikawaida vikao vya General assmebly ni vikao vyenye hadhi ya wakuu wa nchi ambapo mambo mengi huzungumzwa pale lakini ukiacha mbali na hapo huwa ni nafasi nzuri kwa mkuu wa nchi mmoja kupata nafasi ya kuongea na kukubaliana mambo mengi ya maendeleo na wakuu wenzie wa nchi mbalimbali.
Kwa sasa mathalani zao letu la korosho limeyumba, huu ulikuwa ni muda muafaka wa raisi Magufuli kuongea na wakuu wenzie wenye viwanda na masoko ya korosho kuona Tanzania inaweza kunufaika vipi na fursa zilizoko kwao.
Lakini pia nchi yetu inahitaji uwekezaji mbalimbali wa mitaji, hii ni nafasi ya kukutana na wafanyabiashara wakubwa ambao hufunga safari kipindi hiki ili waweze kukutana na viongozi wa nchi mbalimbali kuzungumza masuala ya uwekezaji.
Pia kwa kuwa nchi yetu ina utalii basi hiyo pia ni fursa nzuri ya kuongea na wadau wa utalii na kuona namna gani tunaweza kuleta watalii wengi zaidi.
Swali langu ni kwamba Miaka minne Mheshimiwa Raisi hajaenda kukutana na Kiongozi yeyote wa Taifa kubwa na wala hajahudhuria kikao chochote cha UN General assembly.
Je safari hii itaenda?
UNGA ni mahali pa kupiga soga tu maamuzi yanafanyika SC hivyo kwenda nikupoteza muda na radilimali, tuna balozi mkazi kule atatuwakilisha
 
Kikao cha UN General assembly kinafanyika tena mwezi wa tisa mwaka huu kama ilivyo ada

Ni mwaka wa nne huu wa utawala wa Rais Magufuli hajawahi kusafiri kutoka nje ya Afrika, tofauti na watangulizi wake, Mheshimiwa Magufuli hajahudhuria kikao hata kimoja cha UN General assembly.
Kikawaida vikao vya General assmebly ni vikao vyenye hadhi ya wakuu wa nchi ambapo mambo mengi huzungumzwa pale lakini ukiacha mbali na hapo huwa ni nafasi nzuri kwa mkuu wa nchi mmoja kupata nafasi ya kuongea na kukubaliana mambo mengi ya maendeleo na wakuu wenzie wa nchi mbalimbali.

Kwa sasa mathalani zao letu la korosho limeyumba, huu ulikuwa ni muda muafaka wa raisi Magufuli kuongea na wakuu wenzie wenye viwanda na masoko ya korosho kuona Tanzania inaweza kunufaika vipi na fursa zilizoko kwao.

Lakini pia nchi yetu inahitaji uwekezaji mbalimbali wa mitaji, hii ni nafasi ya kukutana na wafanyabiashara wakubwa ambao hufunga safari kipindi hiki ili waweze kukutana na viongozi wa nchi mbalimbali kuzungumza masuala ya uwekezaji.

Pia kwa kuwa nchi yetu ina utalii basi hiyo pia ni fursa nzuri ya kuongea na wadau wa utalii na kuona namna gani tunaweza kuleta watalii wengi zaidi.

Swali langu ni kwamba Miaka minne Mheshimiwa Raisi hajaenda kukutana na Kiongozi yeyote wa Taifa kubwa na wala hajahudhuria kikao chochote cha UN General assembly.

Je safari hii itaenda?
Ni bora asiende, akienda atafika salama kabisa, ila wakati wa kurudi ndege atakayopanda ikifika usawa wa Bahari ya Atlantic itapotea jumla Kama ile ya Malaysia.
Naandika Kama utani lakini huo ndo ukweli wenyewe na yeye analijua hilo.
 
Kikao cha UN General assembly kinafanyika tena mwezi wa tisa mwaka huu kama ilivyo ada

Ni mwaka wa nne huu wa utawala wa Rais Magufuli hajawahi kusafiri kutoka nje ya Afrika, tofauti na watangulizi wake, Mheshimiwa Magufuli hajahudhuria kikao hata kimoja cha UN General assembly.
Kikawaida vikao vya General assmebly ni vikao vyenye hadhi ya wakuu wa nchi ambapo mambo mengi huzungumzwa pale lakini ukiacha mbali na hapo huwa ni nafasi nzuri kwa mkuu wa nchi mmoja kupata nafasi ya kuongea na kukubaliana mambo mengi ya maendeleo na wakuu wenzie wa nchi mbalimbali.

Kwa sasa mathalani zao letu la korosho limeyumba, huu ulikuwa ni muda muafaka wa raisi Magufuli kuongea na wakuu wenzie wenye viwanda na masoko ya korosho kuona Tanzania inaweza kunufaika vipi na fursa zilizoko kwao.

Lakini pia nchi yetu inahitaji uwekezaji mbalimbali wa mitaji, hii ni nafasi ya kukutana na wafanyabiashara wakubwa ambao hufunga safari kipindi hiki ili waweze kukutana na viongozi wa nchi mbalimbali kuzungumza masuala ya uwekezaji.

Pia kwa kuwa nchi yetu ina utalii basi hiyo pia ni fursa nzuri ya kuongea na wadau wa utalii na kuona namna gani tunaweza kuleta watalii wengi zaidi.

Swali langu ni kwamba Miaka minne Mheshimiwa Raisi hajaenda kukutana na Kiongozi yeyote wa Taifa kubwa na wala hajahudhuria kikao chochote cha UN General assembly.

Je safari hii itaenda?
Yes na aende akashawishi kiswahili kiwe lugha ya UN. Lakini akiambiwa ateme mayai atatema majongoo ya zey ze cataryist is thamsing zat! Laana ya Ben 8hours inamtafuna!!
 
Ndio usomi wetu ulipofika ukomo. Kuongea kiingereza, hata kama unachoongea ni shit tupu. Nchi yetu ni Zaidi ya mtu mmoja ambaye tunapenda kuona kama ndio sababu ya kila tatizo letu. Matatizo yetu hayapo mbali na sisi. yapo ndani ya kila mmoja wetu kwa nafasi yake. Unless tunayaanza hayo, kiingereza tutaongea lakini hakitupi status yoyote popote pale.
Hizi kelele ambazo ndani ni empty, hazimzuii tembo kunywa maji. Tuwe strategic
Tofauti ni kwamba huyo mtu mmoja sio kama wewe a "non entity"; the art of communication, articulation na delivery are critical issues on the global stage if you want anyone who matters to notice and you to be heard and to be taken seriously;
Tanzania's once immense outstanding status at the global stage did not simply evolve, Mwalimu mastered the gift of the gab, and was impressive to the global audience; you can not underestimate the impact and effect of a good, logical and articulate performance. English is the Kiswahili of the world, you can underrate it at your own peril!
 
Kikao cha UN General assembly kinafanyika tena mwezi wa tisa mwaka huu kama ilivyo ada

Ni mwaka wa nne huu wa utawala wa Rais Magufuli hajawahi kusafiri kutoka nje ya Afrika, tofauti na watangulizi wake, Mheshimiwa Magufuli hajahudhuria kikao hata kimoja cha UN General assembly.
Kikawaida vikao vya General assmebly ni vikao vyenye hadhi ya wakuu wa nchi ambapo mambo mengi huzungumzwa pale lakini ukiacha mbali na hapo huwa ni nafasi nzuri kwa mkuu wa nchi mmoja kupata nafasi ya kuongea na kukubaliana mambo mengi ya maendeleo na wakuu wenzie wa nchi mbalimbali.

Kwa sasa mathalani zao letu la korosho limeyumba, huu ulikuwa ni muda muafaka wa raisi Magufuli kuongea na wakuu wenzie wenye viwanda na masoko ya korosho kuona Tanzania inaweza kunufaika vipi na fursa zilizoko kwao.

Lakini pia nchi yetu inahitaji uwekezaji mbalimbali wa mitaji, hii ni nafasi ya kukutana na wafanyabiashara wakubwa ambao hufunga safari kipindi hiki ili waweze kukutana na viongozi wa nchi mbalimbali kuzungumza masuala ya uwekezaji.

Pia kwa kuwa nchi yetu ina utalii basi hiyo pia ni fursa nzuri ya kuongea na wadau wa utalii na kuona namna gani tunaweza kuleta watalii wengi zaidi.

Swali langu ni kwamba Miaka minne Mheshimiwa Raisi hajaenda kukutana na Kiongozi yeyote wa Taifa kubwa na wala hajahudhuria kikao chochote cha UN General assembly.

Je safari hii itaenda?

Jamani kwanza nikiri una mahaba ya dhati na JPM. In Love life we call it „Love hate relationship „. Lakini pili nikupongeze kwa kutaja Korosho. Ni dalili Njema kwamba entweder unalima oder unafanya biashara hiyo. Kwamba Niamini una nia njema na wakulima Wa korosho kuliko JPM. Hapana. Wewe ni mnafiki Mmoja ambaye unatumika kufanya Yale unayotumwa 7/24 Stunden. Why neno kutumika. Ni kwa kuwa Hakuna mwanadamu duniani ambaye ni mbaya tu. Hana jema. HAKUNA. Hata Hitler pamoja na yote tunayojua lakini ndo kawafanya hawa wajerumani kuwa wafanyakazi hodari sana. Hakuna mdhaa Katika Kazi. Sijui Mwaka Gani ziara za Nyuma za viongozi zilibadilisha maisha ya mtanzania. Tajiri siku Zote ni faida na sio Hasara at the cost of maskini. Punguza ujinga kasome historia ile ya O level. Itakusaidia. Najua nia yako ni kumention jina JPM katika uzi wako ila tumia akili kidogo. Life is to shot to dwell on stupid and unfruitful endeavors. Hujawahi Pongeza.

Tatu na mwisho. Please wake up from whatever sleep you are enjoying. Maisha ni Kazi na maamuzi magumu.
 
Ndio kitu mnachokumbuka na kupigania kirudi tena. Zile safari za kila mwezi za Ulaya na Marekani. Kuhudhuria kuanzia mkutano wa kunguni, nzi, mbu na hata viroboto. Mnaweza kutuonyesha kitu gani kikubwa kilifanyika mpaka muanze kutuaminisha kwamba bila kwenda huko kwenye hiyo mikutano tunakosa kitu kikubwa?
Vyandarua hujui kama vimezuia vifo vya wakina mama wajawazito maelfu kwa maelfu
 
URAISI NI TAASISI, SI MALI YA MTU MMOJA,UNAPOPATA KIONGOZI WA TAASISI HII AKAFANYA MONOPOLY YA MAAMUZI YASIYOKUWA NA AFYA KWA TAIFA ,UNAIREJESHA NCHI NZIMA NYUMA KWENYE UWANJA WA KIMATAIFA NA KIDIPLOMASIA.
AIDHA UNAIONDOSHEA HESHIMA NA KUAMINIKA MBELE YA JUMUIA YA KIMATAIFA,ENDAPO WATANZANIA WATA MUACHIA KIONGOZI WA AINA HII AKWEPE VIKAO MUHIMU KAMA HIVI,ITATUGHARIMU MIAKA MINGI IJAYO BAADA YA KUWA MTANGULIZI WAKE ALIACHA 'LEGACY' HUKO MAJUU YA KITANGAAZA TANZANIA NA HATIMAAE UMAARUFU WETU UKAPAA SANA NA MARAFIKI WAKAONGEZEKA NA MAADUI WAKAPUNGUA NA HESHIMA KAMA TAIFA NA KUATA STAHA YA AINA YAKE,HATA PALE TUNAPO FANYA MAKOSA ,BASI HULAUMIWA KIDIPLOMASIA ZAIDI NA KWA HESHIMA.
JIWE ANAPASWA KUBADILIKA NA KUISHI KIMJINI ZAIDI.
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom