Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,314
- 10,775
Sasa si umshauri Tanzania ijitoe UN!! Mabalozi na wasaidizi wa Rais waende kufanya nini kwenye chombo kisicho na tija kwa Tanzania?Siamini kama UN General Assembly kama ni muarobaini wa mahitaji ama matatizo uliyoolozesha.
UN haina meno,wenye meno ni mataifa makubwa machache tajiri.nchi kama zetu bila juhudi binafsi hazitasonga mbele,ni kazi za wasaidizi wa rais kuyafanya hayo usemayo,wakiwemo mabalozi