HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,064
- 1,380
Kwa maoni yangu,naunga mkono msimamo wa Rais Magufuli wa kukataa 'kupigia magoti' hao chui wenye ngozi ya kondoo.Namuunga mkono kwa kukataa kuwanyenyekea hao 'wajomba' wanafiki.Namuunga mkono kukataa kuwa 'mtumwa wa hiari' kwa mabeberu na taasisi zao kimumiani,hasa zile za Brettonwoods.Namuunga mkono kwa kukataa kujipendekeza kwa hao wakubwa wenye sura mbili;sura moja imejaa huruma 1% na sura nyingine imejaa wingu jeusi la uporaji kwa 99%.
Mabeberu hawawapendi Waafrika ila wanaipenda Afrika kwa wingi wa rasilimali.
Mabeberu hawawapendi Waafrika ila wanaipenda Afrika kwa wingi wa rasilimali.