Gobole
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,806
- 4,651
Ni kawaida Nabii kutokubalika kwao...Anyway muda utaongea...2025 km Mwenyezi Mungu akitujalia uzima tutaufufua huu uzi...Munajidanganya tu,huyo Mbarawa huko kwao hata la uchaguzi kijijini kwao hashindi alafu utegemee kushi da Uraisi wa Zanzibar/JMT.
Huyo vinamfaa viti maalumu vya Mhe Raisi basi.