Zanzibar 2020 Je, Rais Dkt. Magufuli alimkata jina Makame Mbarawa kwa maslahi ya Taifa?

Munajidanganya tu,huyo Mbarawa huko kwao hata la uchaguzi kijijini kwao hashindi alafu utegemee kushi da Uraisi wa Zanzibar/JMT.

Huyo vinamfaa viti maalumu vya Mhe Raisi basi.
Ni kawaida Nabii kutokubalika kwao...Anyway muda utaongea...2025 km Mwenyezi Mungu akitujalia uzima tutaufufua huu uzi...
 
Kwenye uzi huu sitii neno.. Ila, ili kujiongezea maarifa, soma Luka 2:25-32
Screenshot_20200712-141957.png
 
Ni kawaida Nabii kutokubalika kwao...Anyway muda utaongea...2025 km Mwenyezi Mungu akitujalia uzima tutaufufua huu uzi...

Labda awe makumu wa Raisi, yaani bora hata Hussein Mwinyi unaweza kumfikiria. Uraisi wa JMT kwa Wazanzibar kipindi hiki cha Vyama vingi ni kazi ngumu sana. Huyo Mwinyi kwa sababu baba yake ni Mndengereko wa kivule na mama yake ni Mzanzibar anaweza kujaribu urais wa JMT.
 
Natumai JPM atatumia ushawishi wake awamu ijayo kuandaa mazingira kura maoni tuwe nchi moja. Tunavyozidi kuchelewa werevu na uchumi ukiboreka tutawapoteza Wazanzibari na himaya yetu.
Katika miaka 5 yake uliwahi kusikia kuna Harambee ya kuchangia kitu flani akaalikwa yeye kama mgeni rasmi? hapo ndo huwa kuna ushawishi........
 
ccm hawana akili
Siasa zinakufanya ujitoe ufahamu.
Huwezi kusema mamilioni ya watu hawana akili bila kipimo chochote cha kuthibitisha hilo kisayansi.
Kwa kutamka tu kauli kama hiyo uliyotumia inaonesha kuna walakini katika uwezo wako wa kutambua jambo zuri au baya.

Kutukana hakukupi urahisi wa kufikisha ujumbe unaokusudia.
Jitafakari mkuu.
 
Du nilikuwa sijui kumbe kashindwa two times kwa hiyo ana ushawishi wa chini sana
Hana kabisa,anaembeba ni Magufuli, ndio maanake alipomteua kuwa waziri kuna siku alisema kama Zanzibar hawakutaki mimi nakupa kazi.
Alikuwa South akifanya kazi huko,ndio watu mashuhuri wakamshawishi arudi ainge Siasa za CCM,kagombea mara mbili uwakilishi anagalagazwa,hata 2015 alianguka ndipo Magufuli kamuokota kwenye ma scrap
 
Hana kabisa,anaembeba ni Magufuli, ndio maanake alipomteua kuwa waziri kuna siku alisema kama Zanzibar hawakutaki mimi nakupa kazi.
Alikuwa South akifanya kazi huko,ndio watu mashuhuli wakamshawishi audio angle Siasa za CCM,kagombea mara mbili uwakilishi anagalagazwa,hata 2015 alianguka ndipo Magufuli kamuokota kwenye ma scrap
Ok so miaka mingi alikuwa anapiga kazi kwa Mandela ? Nilikuwa sijui nilidhan ni mwenyeji kwel kweli pale zenj na si anatpkea pemba na sio Unguja
 
Ok so miaka mingi alikuwa anapiga kazi kwa Mandela ? Nilikuwa sijui nilidhan ni mwenyeji kwel kweli pale zenj na si anatpkea pemba na sio Unguja
Hapa huyo jamaa alienda kusoma Russia kwa muda mrefu,baada ya kumaliza akaunganisha Phd Australia ndio akaja South kama mwalimu kwenye chuo kikuu huko.Kwao wanamwita mwana mpotevu.
 
Hapa huyo jamaa alienda kusoma Russia kwa muda mrefu,baada ya kumaliza akaunganisha Phd Australia ndio akaja South kama mwalimu kwenye chuo kikuu huko.
Du kumbe msomi mbobezi kiasi cha kutosha anyway bado atapata post tena namtakia heri njema kwake.
 
Siasa zinakufanya ujitoe ufahamu.
Huwezi kusema mamilioni ya watu hawana akili bila kipimo chochote cha kuthibitisha hilo kisayansi.
Kwa kutamka tu kauli kama hiyo uliyotumia inaonesha kuna walakini katika uwezo wako wa kutambua jambo zuri au baya.

Kutukana hakukupi urahisi wa kufikisha ujumbe unaokusudia.
Jitafakari mkuu.
Sawa mkuu nakuletea utafiti unaoonyesha ccm hawana akili......
-wanafurahia watu kutekwa kuteswa na kupiga risasi
- walibaka katiba ya wananchi ya warioba Ila kwa kua hawana akili wao wanafanya marekebisho ya katiba kuwaweka watu juu ya sheria eti wasishitakiwe wakivunja katiba hizi ni akili mbovu haijawahi kutokea duniani kote
-kutokua na akili kwa ccm ni kutumia jeshi kushughulikia swala na Korosho badala ya kuwekeza kwenye negotiations na principles za kiuchumi.....kutumia jeshi kwenye korona ni kujichora kua ccm hawana akili kabisa
-kujaribu kuwaangusha matajiri ili masikini waishi km malaika ni ccm tu wasiona akili ndio wanaweza kua na fikra mfu km hizi. Dunia inahangaika kuwawezesha masikini wawe km matajiri sio kuwashusha matajiri. Haya kauli zenu hizi chafu zimewakimbiza wawekezaji kwenda nchi jirani
-ccm hawana akili kabisa kwa sababu wanajiapiza hadharani kuua watz wenzao tena hawachukuliwi hatua yoyote. Km una akili huwezi kufanya maapizo ya kishetani km haya
- ccm hawana akili kwa sababu wameharibu uchumi wa nchi...m

Mengi sn mkuu huo ni utafiti mdogo tu orodha ni ndefu
 
Sawa mkuu nakuletea utafiti unaoonyesha ccm hawana akili......
-wanafurahia watu kutekwa kuteswa na kupiga risasi
- walibaka katiba ya wananchi ya warioba Ila kwa kua hawana akili wao wanafanya marekebisho ya katiba kuwaweka watu juu ya sheria eti wasishitakiwe wakivunja katiba hizi ni akili mbovu haijawahi kutokea duniani kote
-kutokua na akili kwa ccm ni kutumia jeshi kushughulikia swala na Korosho badala ya kuwekeza kwenye negotiations na principles za kiuchumi.....kutumia jeshi kwenye korona ni kujichora kua ccm hawana akili kabisa
-kujaribu kuwaangusha matajiri ili masikini waishi km malaika ni ccm tu wasiona akili ndio wanaweza kua na fikra mfu km hizi. Dunia inahangaika kuwawezesha masikini wawe km matajiri sio kuwashusha matajiri. Haya kauli zenu hizi chafu zimewakimbiza wawekezaji kwenda nchi jirani
-ccm hawana akili kabisa kwa sababu wanajiapiza hadharani kuua watz wenzao tena hawachukuliwi hatua yoyote. Km una akili huwezi kufanya maapizo ya kishetani km haya
- ccm hawana akili kwa sababu wameharibu uchumi wa nchi...m

Mengi sn mkuu huo ni utafiti mdogo tu orodha ni ndefu
Mkuu hapo umeandika hisia zako tu sio 'facts' ziliopatikana kupitia tafiti au uchunguzi wa vyombo vinavyo tambulika kisheria.
Sijui hata kama unaelewa maana ya tafiti rasmi inayotumia njia za kukusanya taarifa zinzokubalika kisayansi.

Kuna vitu hapo ukiulizwa unaweza kushindwa kuthibitisha kwa namba au kwa viambatanisho vinavyokubalika kisheria.
Kwa vile mimi sioni tija kujihusisha na mjadala wenye uelekeo wa simulizi za vijiwe vya kahawa inabidi niishie hapa, kila la kheri mkuu.
 
Mkuu hapo umeandika hisia zako tu sio 'facts' ziliopatikana kupitia tafiti au uchunguzi wa vyombo vinavyo tambulika kisheria.
Sijui hata kama unaelewa maana ya tafiti rasmi inayotumia njia za kukusanya taarifa zinzokubalika kisayansi.

Kuna vitu hapo ukiulizwa unaweza kushindwa kuthibitisha kwa namba au kwa viambatanisho vinavyokubalika kisheria.
Kwa vile mimi sioni tija kujihusisha na mjadala wenye uelekeo wa simulizi za vijiwe vya kahawa inabidi niishie hapa, kila la kheri mkuu.
Tomaso bado unataka ushahidi upi zaidi.....
Madhira haya yote huwezi kuyajua km ww ni buku 7


Jukwaa la Siasa
Zanzibar 2020 Je, Rais Dkt. Magufuli alimkata jina Makame Mbarawa kwa maslahi ya Taifa?
Thread starterseedfarm Start dateSaturday at 9:55 PM
Tags None
First
Prev
2 of 2

Moderation
Ignore
Watch

•••
Jile79
Jile79
JF-Expert Member
Yesterday at 1:47 PM
Add bookmark
#21
Titicomb said:
Fafanua mkuu ujinga kivipi?
ccm hawana akili bali wanatumia ubabe wkt hawakubaliki
Quote Reply Select for moderation Report Edit Delete
Gobole
Gobole
JF-Expert Member
Yesterday at 2:11 PM
Add bookmark
#22
Kinjeketile said:
Munajidanganya tu,huyo Mbarawa huko kwao hata la uchaguzi kijijini kwao hashindi alafu utegemee kushi da Uraisi wa Zanzibar/JMT.

Huyo vinamfaa viti maalumu vya Mhe Raisi basi.
Ni kawaida Nabii kutokubalika kwao...Anyway muda utaongea...2025 km Mwenyezi Mungu akitujalia uzima tutaufufua huu uzi...
Thanks Quote Reply Select for moderation Report
Mikopo Chefuchefu
Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
Yesterday at 2:21 PM
Add bookmark
#23
Kwenye uzi huu sitii neno.. Ila, ili kujiongezea maarifa, soma Luka 2:25-32
Screenshot_20200712-141957.png
Thanks Quote Reply Select for moderation Report
Kinjeketile
JF-Expert Member
Yesterday at 2:23 PM
Add bookmark
#24
Gobole said:
Ni kawaida Nabii kutokubalika kwao...Anyway muda utaongea...2025 km Mwenyezi Mungu akitujalia uzima tutaufufua huu uzi...
Labda awe makumu wa Raisi, yaani bora hata Hussein Mwinyi unaweza kumfikiria. Uraisi wa JMT kwa Wazanzibar kipindi hiki cha Vyama vingi ni kazi ngumu sana. Huyo Mwinyi kwa sababu baba yake ni Mndengereko wa kivule na mama yake ni Mzanzibar anaweza kujaribu urais wa JMT.
Thanks Quote Reply Select for moderation Report
sengobad
sengobad
JF-Expert Member
Yesterday at 2:32 PM
Add bookmark
#25
VAPS said:
Natumai JPM atatumia ushawishi wake awamu ijayo kuandaa mazingira kura maoni tuwe nchi moja. Tunavyozidi kuchelewa werevu na uchumi ukiboreka tutawapoteza Wazanzibari na himaya yetu.
Katika miaka 5 yake uliwahi kusikia kuna Harambee ya kuchangia kitu flani akaalikwa yeye kama mgeni rasmi? hapo ndo huwa kuna ushawishi........
Thanks Quote Reply Select for moderation Report
Titicomb
Titicomb
JF-Expert Member
Yesterday at 4:19 PM
Add bookmark
#26
Jile79 said:
ccm hawana akili
Siasa zinakufanya ujitoe ufahamu.
Huwezi kusema mamilioni ya watu hawana akili bila kipimo chochote cha kuthibitisha hilo kisayansi.
Kwa kutamka tu kauli kama hiyo uliyotumia inaonesha kuna walakini katika uwezo wako wa kutambua jambo zuri au baya.

Kutukana hakukupi urahisi wa kufikisha ujumbe unaokusudia.
Jitafakari mkuu.
Thanks Quote Reply Select for moderation Report
sblandes
sblandes
JF-Expert Member
Yesterday at 4:46 PM
Add bookmark
#27
Kinjeketile said:
Munajidanganya tu,huyo Mbarawa huko kwao hata la uchaguzi kijijini kwao hashindi alafu utegemee kushi da Uraisi wa Zanzibar/JMT.

Huyo vinamfaa viti maalumu vya Mhe Raisi basi.
Mara mbili katoka kapa kwao.
Thanks Quote Reply Select for moderation Report
nandengele
JF-Expert Member
Yesterday at 5:00 PM
Add bookmark
#28
sblandes said:
Mara mbili katoka kapa kwao.
Du nilikuwa sijui kumbe kashindwa two times kwa hiyo ana ushawishi wa chini sana
Thanks Quote Reply Select for moderation Report
sblandes
sblandes
JF-Expert Member
Yesterday at 5:55 PM
Add bookmark
#29
nandengele said:
Du nilikuwa sijui kumbe kashindwa two times kwa hiyo ana ushawishi wa chini sana
Hana kabisa,anaembeba ni Magufuli, ndio maanake alipomteua kuwa waziri kuna siku alisema kama Zanzibar hawakutaki mimi nakupa kazi.
Alikuwa South akifanya kazi huko,ndio watu mashuhuri wakamshawishi arudi ainge Siasa za CCM,kagombea mara mbili uwakilishi anagalagazwa,hata 2015 alianguka ndipo Magufuli kamuokota kwenye ma scrap
Thanks Quote Reply Select for moderation Report
Thanks Reactions:drilling
nandengele
JF-Expert Member
Yesterday at 5:58 PM
Add bookmark
#30
sblandes said:
Hana kabisa,anaembeba ni Magufuli, ndio maanake alipomteua kuwa waziri kuna siku alisema kama Zanzibar hawakutaki mimi nakupa kazi.
Alikuwa South akifanya kazi huko,ndio watu mashuhuli wakamshawishi audio angle Siasa za CCM,kagombea mara mbili uwakilishi anagalagazwa,hata 2015 alianguka ndipo Magufuli kamuokota kwenye ma scrap
Click to expand...Ok so miaka mingi alikuwa anapiga kazi kwa Mandela ? Nilikuwa sijui nilidhan ni mwenyeji kwel kweli pale zenj na si anatpkea pemba na sio Unguja
Thanks Quote Reply Select for moderation Report
sblandes
sblandes
JF-Expert Member
Yesterday at 6:02 PM
Add bookmark
#31
nandengele said:
Ok so miaka mingi alikuwa anapiga kazi kwa Mandela ? Nilikuwa sijui nilidhan ni mwenyeji kwel kweli pale zenj na si anatpkea pemba na sio Unguja
Hapa huyo jamaa alienda kusoma Russia kwa muda mrefu,baada ya kumaliza akaunganisha Phd Australia ndio akaja South kama mwalimu kwenye chuo kikuu huko.Kwao wanamwita mwana mpotevu.
Thanks Quote Reply Select for moderation Report
nandengele
JF-Expert Member
Yesterday at 6:06 PM
Add bookmark
#32
sblandes said:
Hapa huyo jamaa alienda kusoma Russia kwa muda mrefu,baada ya kumaliza akaunganisha Phd Australia ndio akaja South kama mwalimu kwenye chuo kikuu huko.
Du kumbe msomi mbobezi kiasi cha kutosha anyway bado atapata post tena namtakia heri njema kwake.
Thanks Quote Reply Select for moderation Report
Thanks Reactions:sblandes
sblandes
sblandes
JF-Expert Member
Yesterday at 6:08 PM
Add bookmark
#33
nandengele said:
Du kumbe msomi mbobezi kiasi cha kutosha anyway bado atapata post tena namtakia heri njema kwake.
Marine engineer mwenye phd si mchezo ni kishoka kweli kweli huyo Professor.
Thanks Quote Reply Select for moderation Report
Kisalilo
Kisalilo
JF-Expert Member
Yesterday at 6:09 PM
Add bookmark
#34
GENTAMYCINE said:
Stop being a Moron you Uncircumcised Baboon.
Upo kama mdada
Thanks Quote Reply Select for moderation Report
GENTAMYCINE
GENTAMYCINE
JF-Expert Member
Yesterday at 10:29 PM
Add bookmark
#35
Kisalilo said:
Upo kama mdada
Kama vile Wewe ulivyo kama Mama!
Thanks Quote Reply Select for moderation Report
Thanks Reactions:Rubawa
Kisalilo
Kisalilo
JF-Expert Member
Yesterday at 11:34 PM
Add bookmark
#36
GENTAMYCINE said:
Kama vile Wewe ulivyo kama Mama!
upo kama mwanamke wa buza
Thanks Quote Reply Select for moderation Report
GENTAMYCINE
GENTAMYCINE
JF-Expert Member
Today at 12:02 AM
Add bookmark
#37
Kisalilo said:
upo kama mwanamke wa buza
Aliyekuzaa yuko kama Mwanamke wa Ohio Street Posta.
Thanks Quote Reply Select for moderation Report
Jile79
Jile79
JF-Expert Member
Today at 9:25 AM
Add bookmark
#38
Titicomb said:
Siasa zinakufanya ujitoe ufahamu.
Huwezi kusema mamilioni ya watu hawana akili bila kipimo chochote cha kuthibitisha hilo kisayansi.
Kwa kutamka tu kauli kama hiyo uliyotumia inaonesha kuna walakini katika uwezo wako wa kutambua jambo zuri au baya.

Kutukana hakukupi urahisi wa kufikisha ujumbe unaokusudia.
Jitafakari mkuu.
Click to expand...Sawa mkuu nakuletea utafiti unaoonyesha ccm hawana akili......
-wanafurahia watu kutekwa kuteswa na kupiga risasi
- walibaka katiba ya wananchi ya warioba Ila kwa kua hawana akili wao wanafanya marekebisho ya katiba kuwaweka watu juu ya sheria eti wasishitakiwe wakivunja katiba hizi ni akili mbovu haijawahi kutokea duniani kote
-kutokua na akili kwa ccm ni kutumia jeshi kushughulikia swala na Korosho badala ya kuwekeza kwenye negotiations na principles za kiuchumi.....kutumia jeshi kwenye korona ni kujichora kua ccm hawana akili kabisa
-kujaribu kuwaangusha matajiri ili masikini waishi km malaika ni ccm tu wasiona akili ndio wanaweza kua na fikra mfu km hizi. Dunia inahangaika kuwawezesha masikini wawe km matajiri sio kuwashusha matajiri. Haya kauli zenu hizi chafu zimewakimbiza wawekezaji kwenda nchi jirani
-ccm hawana akili kabisa kwa sababu wanajiapiza hadharani kuua watz wenzao tena hawachukuliwi hatua yoyote. Km una akili huwezi kufanya maapizo ya kishetani km haya
- ccm hawana akili kwa sababu wameharibu uchumi wa nchi...m

Mengi sn mkuu huo ni utafiti mdogo tu orodha ni ndefu
Quote Reply Select for moderation Report Edit Delete
Titicomb
Titicomb
JF-Expert Member
Today at 11:50 AM
Add bookmark
#39
Jile79 said:
Sawa mkuu nakuletea utafiti unaoonyesha ccm hawana akili......
-wanafurahia watu kutekwa kuteswa na kupiga risasi
- walibaka katiba ya wananchi ya warioba Ila kwa kua hawana akili wao wanafanya marekebisho ya katiba kuwaweka watu juu ya sheria eti wasishitakiwe wakivunja katiba hizi ni akili mbovu haijawahi kutokea duniani kote
-kutokua na akili kwa ccm ni kutumia jeshi kushughulikia swala na Korosho badala ya kuwekeza kwenye negotiations na principles za kiuchumi.....kutumia jeshi kwenye korona ni kujichora kua ccm hawana akili kabisa
-kujaribu kuwaangusha matajiri ili masikini waishi km malaika ni ccm tu wasiona akili ndio wanaweza kua na fikra mfu km hizi. Dunia inahangaika kuwawezesha masikini wawe km matajiri sio kuwashusha matajiri. Haya kauli zenu hizi chafu zimewakimbiza wawekezaji kwenda nchi jirani
-ccm hawana akili kabisa kwa sababu wanajiapiza hadharani kuua watz wenzao tena hawachukuliwi hatua yoyote. Km una akili huwezi kufanya maapizo ya kishetani km haya
- ccm hawana akili kwa sababu wameharibu uchumi wa nchi...m

Mengi sn mkuu huo ni utafiti mdogo tu orodha ni ndefu
 
Tomaso bado unataka ushahidi upi zaidi.....
Madhira haya yote huwezi kuyajua km ww ni buku 7
Mkuu mimi sipo kwenye hilo kundi.
Hata hivyo naona mnafeli kwenye kitengo chenu cha propaganda na IT. Intelijensia yenu ina-fail sana kama mmeshindwa kujuwa mimi sipo huko buku 7.
I ain't working for anybody, I'm just a freeminded person with independent views of political issues.
So to do what you did isn't gonna scare, discourage or stop me from giving out my views.

Sasa madude yote hayo uliyoniwekea ndiyo nini?
 
Back
Top Bottom