Prof Mbarawa: Kwa sasa Bandari inachangia 37% ya Bajeti ya Nchi lakini DP World atatufikisha kwenye 67% hivyo ondoeni Wasiwasi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,036
142,127
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof Mbarawa amesema pamoja na Serikali kuwekeza tsh 1 trillion pale Bandarini bado performance imekuwa hairidhishi

Tatizo kubwa ni Ukosesefu wa vifaa vya kisasa, Udhaifu wa Tehama na business as usual kwa Watendaji ndio tumeona tuikodishe, amefafanua Prof Mbarawa

Prof amesema kwa sasa Bandari inachangia 37% ya Bajeti ya Taifa lakini tukienda vizuri Mwekezaji atatufikisha kwenye 67% hivyo Wananchi wasiwe na Wasiwasi waendelee kuiamini Serikali yao

Source Star tv

Habari zaidi, soma:
  1. Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi
 
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof Mbarawa amesema pamoja na Serikali kuwekeza tsh 1 trillion pale Bandarini bado performance imekuwa hairidhishi

Tatizo kubwa ni Ukosesefu wa vifaa vya kisasa, Udhaifu wa Tehama na business as usual kwa Watendaji ndio tumeona tuikodishe, amefafanua Prof Mbarawa

Prof amesema kwa sasa Bandari inachangia 37% ya Bajeti ya Taifa lakini tukienda vizuri Mwekezaji atatufikisha kwenye 67% hivyo Wananchi wasiwe na Wasiwasi waendelee kuiamini Serikali yao

Source Star tv
Mshenzi mkubwa, kama ameshindwa kusimamia bandari ya watu anaowaongoza je ataweza hao wageni?
 
Porojo huwa nyingi sana lakini kwenye vitendo ndo shida huanza, yaani zilongwa mbali zitendwa mbali, in msoga's voice.

Hata ikitokea hayo mapato yamefika 67% urefu wa kamba za walamba asali nazo zitaongezeka kwa asilimia hiyohiyo 67 tunaishia kubaki palepale (futile cycle).

Kwa hiyo point inabaki palepale kwamba tumemilikisha lango la bandari kwa wageni, jambo ambalo ni hatari kiusalama wa taifa na rasilimali tulizonazo. Kuna scandal iliripotiwa Aljazeera wajanja walitorosha kiasi kikubwa cha dhahabu ya zimbabwe, imagine umewapa wageni bandari kuna dhahabu yetu itabaki? vipi wanyama pori?​
 
Twende mbele turudi nyuna jamani, Watanzania hatuwezi kujingoza, wala kujisimamia, ukifika Bandarini unakutana na Mtanzania mwenzako ila anavyokuhudumia, bora ukutane na mgeni, nenda Tanesco utake huduma utakiona cha mtena kuni, nenda TRA, kila mtu aliona jinsi wafanyabiashara walivyolalamika Kariakoo, nenda hospital huko ndio utakoma kabisa, Watanzania sisi ni wabinafsi na wapigaji, wacha tuendelee kutawaliwa mpaka siku alili zikae sawa, hatupendani, tunaonena wivu na kukomoana.
 
Porojo huwa nyingi sana lakini kwenye vitendo ndo shida huanza, yaani zilongwa mbali zitendwa mbali, in msoga's voice.

Hata ikitokea hayo mapato yamefika 67% urefu wa kamba za walamba asali nazo zitaongezeka kwa asilimia hiyohiyo 67 tunaishia kubaki palepale (futile cycle).

Kwa hiyo point inabaki palepale kwamba tumemilikisha lango la bandari kwa wageni, jambo ambalo ni hatari kiusalama wa taifa na rasilimali tulizonazo. Kuna scandal iliripotiwa Aljazeera wajanja walitorosha kiasi kikubwa cha dhahabu ya zimbabwe, imagine umewapa wageni bandari kuna dhahabu yetu itabaki? vipi wanyama pori?​
Wale Twiga walitoroshwa na Airport wapo Watanzania wenzetu, niambie mbongo asiyehongeka hata kama wakitaka kupitisha madini leo kabla hao DP WORLD hawajaja, sisi ni shida mzee.
 
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof Mbarawa amesema pamoja na Serikali kuwekeza tsh 1 trillion pale Bandarini bado performance imekuwa hairidhishi

Tatizo kubwa ni Ukosesefu wa vifaa vya kisasa, Udhaifu wa Tehama na business as usual kwa Watendaji ndio tumeona tuikodishe, amefafanua Prof Mbarawa

Prof amesema kwa sasa Bandari inachangia 37% ya Bajeti ya Taifa lakini tukienda vizuri Mwekezaji atatufikisha kwenye 67% hivyo Wananchi wasiwe na Wasiwasi waendelee kuiamini Serikali yao

Source Star tv
Hizo trillion 1 mlinunua vifaa vya kizamani? Au anamaanisha nini huyu mbwa? Na hiyo bandar ameamua aikidishe kwa miaka mingapi?
 
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof Mbarawa amesema pamoja na Serikali kuwekeza tsh 1 trillion pale Bandarini bado performance imekuwa hairidhishi

Tatizo kubwa ni Ukosesefu wa vifaa vya kisasa, Udhaifu wa Tehama na business as usual kwa Watendaji ndio tumeona tuikodishe, amefafanua Prof Mbarawa

Prof amesema kwa sasa Bandari inachangia 37% ya Bajeti ya Taifa lakini tukienda vizuri Mwekezaji atatufikisha kwenye 67% hivyo Wananchi wasiwe na Wasiwasi waendelee kuiamini Serikali yao

Source Star tv
Kwanini wasiongeze trillion Moja nyingine wanunue hivyo vifaa?
 
Back
Top Bottom