tzkwanza
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 1,568
- 3,604
Jana kwenye mkutano kati ya Rais na wazee wa Dar es Salaam aliwaomba msamaha kwa kuwalazimisha wavae masks/barakoa.
Swali: Huo msamaha ni wa nini? Maana dunia inapitia janga la Corona hivyo kuwalinda na kujilinda ni jukumu la kila mtu sio suala la hiyari au kubembelezana.
Pia kama kamati ikimshauri mama Samia atoe chanjo kwa wazee ataweza kweli kuwaambia kama barakoa tu imebidi aombe msamaha?
Nchi ilichezewa na taarifa potofu kuhusu Corona zimejaa vichwani mwa watanzania.
Swali: Huo msamaha ni wa nini? Maana dunia inapitia janga la Corona hivyo kuwalinda na kujilinda ni jukumu la kila mtu sio suala la hiyari au kubembelezana.
Pia kama kamati ikimshauri mama Samia atoe chanjo kwa wazee ataweza kweli kuwaambia kama barakoa tu imebidi aombe msamaha?
Nchi ilichezewa na taarifa potofu kuhusu Corona zimejaa vichwani mwa watanzania.