Je Putin ananza kujitanua?

Hakika.Umenena mkuu.Ni mara nyingi tuu ndege za Russia zinazifukuzia meli za kivita za USA kwa kupita karibu mno na meli hizo kitendo ambacho USA kulalamika
sasa sijui anaetoaga amri ya kuzifukuzia hizo meli za us huwa anakuwaga anafikilia nini au lengo lake haswa ni nini
 
Usiangalie Kula zilisha pita.angalia Hali ya marekani saivi kama una bisha trump anapita tena 2020
Trump atapita kwa sababu ya college votes.Ni kura za majimbo yanayoamua hatma ya uraisi.Lakini kama raisi angekuwa anachaguliwa moja kwa moja na majority votes yaani kura za watu wengi nakuhakikishia kuwa Trump asingepita hata kidogo.Uchaguzi uliopita alibwagwa vibaya sana kwenye majority votes.Alishinda kwenye college votes.Ndio maana watu wanalalamika kuwa mfumo huo wa upigaji kura ubadirishwe,kwani raisi huchaguliwa na watu wachache tuu.
 
Kama ni sikweli Western media wanacho sema kwa nn mfano wa ujamaa walio uanzisha na kuusambaza duniani hakuna hata nchi moja iliyo fanikiwa kiuchumi wa kijamii Russian ni loser.na kama russi ina kila technolojia kwa nn isiwe juu kiuchumi na kusaidia washirika wake mfano Venezuela.
 
Afu marekani watakuwa wame zubaa mdaa wote huo utani wakuu
kipindi china anakua kwa kasi walikuwepo wap?

north korea mpaka wanafanikisha kuunda kombora la kuweza kufika us CIA walikuwa wap ?

iran mpaka anakuwa sugu walikuwepo wao?

Assad anakomboa miji wapo wap us?

mpaka vilaza tanzania wananunua silaha north korea us alikuwa wap?
 
Russia miaka yote yupo kwenye migogoro ya kiuchumi na western Europe na usa.vikwazo kwake havikomi kama vile Iran.Hata hivyo anajitahidi sana kupambana navyo ili kuhakikisha anajimudu kiuchumi.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Waliondoka baada ya kugundua kuwa ile vita haikuwa na faida yoyote kwao,kwa hiyo wakaonelea ni bora wasiwabebeshe mzigo wananchi wao kwa kodi zao wazilipazo.
Hata marekani alimua kuondoka Vietnam baada ya kuona Vita haina faida yoyote asiwabebeshe mzigo wamalekan.pia usi sahau mzee baba akipokea kichapo heavy kutoka kwa Finland lakin hajitangazi.
 
Hata marekani alimua kuondoka Vietnam baada ya kuona Vita haina faida yoyote asiwabebeshe mzigo wamalekan.pia usi sahau mzee baba akipokea kichapo heavy kutoka kwa Finland lakin hajitangazi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].Finland anakaribishwa kwa mara nyingine tena.
 
Mkuu acha kuione marekani ubinafsi wa viongozi wa Venezuela ndio umewafikisha hapo kwa wange fata masharti wange pungiwa nn wenzao warabu wanakula bata
 
Mkuu acha kuione marekani ubinafsi wa viongozi wa Venezuela ndio umewafikisha hapo kwa wange fata masharti wange pungiwa nn wenzao warabu wanakula bata
Hicho ndicho ambacho mtu kama Putin hataki hata kukisikia
 
Hata Russia ange lalamika mbona U.s anavofanya mazoezi na S.korea pia russia ana lalamika
Hakika.Umenena mkuu.Ni mara nyingi tuu ndege za Russia zinazifukuzia meli za kivita za USA kwa kupita karibu mno na meli hizo kitendo ambacho USA kulalamika
 
Hata Russia ange lalamika mbona U.s anavofanya mazoezi na S.korea pia russia ana lalamika
Hapo ndipo unapojua kuwa hawa jamaa wote wako vizuri.Lingekuwa taifa la kitoto tayari USA kwenye hali kama hiyo ashafanya yake mapemaaa
 
Teh teh mkuu mchina uchumi wake umeshikiliwa na wageni amini na kwambi asilia 75% ya viwanda vilivyopo china ni vya wageni
 
Russia miaka yote yupo kwenye migogoro ya kiuchumi na western Europe na usa.vikwazo kwake havikomi kama vile Iran.Hata hivyo anajitahidi sana kupambana navyo ili kuhakikisha anajimudu kiuchumi.
Ndo nakwambije mkuu Russian ni loser kwa sababu kama ameshindwa kumaintain uchumi wake ndo ataweza kurudisha wamajiran.
 
Tuliza shanga dada,mbona umekua mkali kama vile umekatiwa shanga na konda?

Mzingueni Putin the great,muone kama hajaweka makombora hapo cuba fasta tu mpk lile wigi la babako Trump limvuke kichwani.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…