Kibumbula
JF-Expert Member
- Mar 26, 2018
- 3,690
- 3,382
Katika kile kinachoonekana mazoezi ya pamoja kati ya Venezuela na Russia,Putin amezituma Tu-160 strategic bombers kwa ajili ya kazi hiyo.Madege hayo yaliyokuwa yakifuatiliwa na ndege vita za Norway F-16 yalivuka bahari ya Atlantic yakisafiri umbali wa kilomita 10000 pasipo kufanyiwa refueling na kifanikiwa kutua Caracas Venezuela salama kabisa.Madege hayo yana uwezo wa kubeba vichwa vya nuklia.YANGU MACHO NA MASIKIO.

