Suluhu ya kudumu ni watu walio wengi kama sio wote kupata elimu ya juu ya kweli.Mimi ninachoweza kusema ni
Sifa za kuwa mbunge ziangaliwe.
Hakuna haja ya kutafuta mchawi ni nani.
Huwezi kuwa na bunge ambalo ili uwe mbunge eti sifa iwe ni kujua kusoma na kuandika alafu unaingia bungeni kuisimamia serikali.
Haya ni maigizo ambayo kama hayataisha, maendeleo tutaishia kuyaona kwenye tamthilia za kifilipino
Muongezee wewe basi unayejua kubadili pediHujui kitu
View attachment 1061459
Huyu mtu kiukweli anayajua madudu mengi mno ya nchi hii , na kwa jinsi ya maelezo ya kamati ya maadili ya bunge , kuna chuki kubwa sana iliyochanganyika na wivu wa kimasikini uliojaa ushamba mkubwa sana ndani yake dhidi ya Assad.
Nashauri kwenye kipindi hiki cha mpito Profesa huyu aongezewe ulinzi .
Wenye akili wamenielewa .
Amesema kuwa wenye akili wamamwelewa kama hujaelewa basi huna ...........Ndo umeandika nini sasa
Haki tena, hii ni aibu kabisa......embu kuwa muungwana basi, jitaidi kuficha NYETI ZAKO ZA UBONGO hata kwa kukaa kimya tu.
"Muungwana akivuliwa nguo, uchutama...."
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpumbavu mkubwa wewe, ni bora baba yako angepiga punyeto kuliko kutunga mimba ya zezeta kama wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1061459
Huyu mtu kiukweli anayajua madudu mengi mno ya nchi hii , na kwa jinsi ya maelezo ya kamati ya maadili ya bunge , kuna chuki kubwa sana iliyochanganyika na wivu wa kimasikini uliojaa ushamba mkubwa sana ndani yake dhidi ya Assad.
Nashauri kwenye kipindi hiki cha mpito Profesa huyu aongezewe ulinzi .
Wenye akili wamenielewa .
Nakubaliana nawe kabisa! Na najua kweli bunge ni dhaifu, lakini swali langu, kama Bunge huwa linafanyia kazi reports za CAG kuishauri Serikali, litaendelea vipi na CAG asiyeliamini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yote nakuelewa, lakini watafanya kazi vipi watu wasiominiana huku mmoja akiwa na mtazamo kuwa mwenzake ana mdharau?Kuendelea ni lazima kwakuwa ni jukumu lake kuisimamia serikali soma majukumu ya bunge ambayo hayawezi kutekelezwa bila report ya CAG mfano kutunga sheria za rasilimali kumetokana report zake labda bunge liache kufanya kazi wakae nyumban
Sent using Jamii Forums mobile app
Tufuate katiba ya nchi inavyoelekeza tuYote nakuelewa, lakini watafanya kazi vipi watu wasiominiana huku mmoja akiwa na mtazamo kuwa mwenzake ana mdharau?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa, lakini KAMA MTOA ULINZI NDO ADUI YAKO, kuna ulinzi hapo?!View attachment 1061459
Huyu mtu kiukweli anayajua madudu mengi mno ya nchi hii , na kwa jinsi ya maelezo ya kamati ya maadili ya bunge , kuna chuki kubwa sana iliyochanganyika na wivu wa kimasikini uliojaa ushamba mkubwa sana ndani yake dhidi ya Assad.
Nashauri kwenye kipindi hiki cha mpito Profesa huyu aongezewe ulinzi .
Wenye akili wamenielewa .
awekewe ulinzi wa Mungu tu .Ni sawa, lakini KAMA MTOA ULINZI NDO ADUI YAKO, kuna ulinzi hapo?!
NI KWELI....awekewe ulinzi wa Mungu tu .
Ndugai anatumika kizembe sana !NI KWELI....
BY THE WAY... Najua kwenye kumkagua yeye WANAWEZA wanaweka Yao, kwamba na yeye ana madudu...WASISAHAU KUWA MADUDU YAKE HAYATOI UHALALI WA MADUDU YAO.... MADUDU YAKE HAYATAONYESHA 1.5T IMEENDA WAPI..!! MADUDU YAKE HAYATALETA SAREBZA POLISI...!!! etc