mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,770
- 2,171
Jana wakati Rais Magufuli alipokuwa anamuapisha CAG mpya Ndg Charles Kichere, alisema kuwa Prof. Assad alijigeuza kuwa mhimili.
Nimejaribu kutafakari na kuibua kumbukumbu yangu kuhusu jambo lolote alilolifanya Prof. Assad ambalo lingebeba taswira ya kwamba anajigeuza mhimili lakini sijapata jibu.
Je, kuna yeyote mwenye jibu?
Nimejaribu kutafakari na kuibua kumbukumbu yangu kuhusu jambo lolote alilolifanya Prof. Assad ambalo lingebeba taswira ya kwamba anajigeuza mhimili lakini sijapata jibu.
Je, kuna yeyote mwenye jibu?