Wapumbavvu na machawa huwa hamjifichi na reasoning zenu za kipumbavu
Kwa hiyo jpm ndio amefanya/alituma watu wakamuue Ally Kibao?
Jpm ndio aliyempoteza Ndude Nyangali ambaye mpaka leo hatujui yuko wapi?
Jpm ndio anahusika na ubakaji wa wals wanaharakati wa nchi jirani waliokuja kuskiliza kesi ya Lisu?
Yaan kma umekaza mkundu hapa eti leo hii tunapitia haya kwa sababu ya magufuli huku ukimtetea samia?
Kwa hiyo samia hausiki kabisa na wala hastahili kulaumiwa kwa maovu yanayoendelea sasa si ndio maana yake?
Mbona unakuwa mpumbavvu hivyo kama huyo jamaa (
Allency) aliyekupa like kwenye hii comment yako?