Dollar zimeadimika duniani kwa sababu The Fed wamepandisha interest rate. Nadhani unajua madhara ya kupanda kwa interest rate ya dollar.
Pili, bidhaa kubwa itakayoathiriwa ni mafuta kwa sababu ndiyo yanayo kula dollars nyingi hasa kwa nchi kama Tanzania.
Tatu, ambalo ni la muhimu ili uondoe fikra ulizo nazo, Tanzanian Shilling kwa kipindi cha mwaka uliopita ndiyo iliyoonyesha more stability kuliko currency yeyote kwa nchi za Africka mashariki na kati. Ikionyesha kuwa central bank ya Tanzania ndiyo angalau imechukua hatua bora zaidi, zenye matokeo chanya zaidi.
Shilingi ya Kenya sasa ni sawa na shilingi 17 za tanzania badala ya shilingi 21 za kitanzania., karibu ongezeko la thamani kwa 20%.