Naona uzi wa jamaa umefutwa unaohusu baadi ya maeneo nchini vituo vya mafuta kukosa mafuta hasa petrol.
Sasa nakazia, na huu uzi mods waufute tu kwa sababu hali halisi ndivyo ilivyo.
Baadhi ya maeneo nchini hasa wilayani huku mafuta hayapatikani hasa petrol.
Je, tatizo ni nini?
Mbona serikali haitolei ufafanuzi juu ya hili wakati wawakilishi wa serikali kila wilaya wapo ( Wakuu wa Wilaya)?
Kwani huko Dar petrol ipo?
Huku mikoani hasa wilayani hakuna petrol, na kama ipo inauzwa kwa maringo katika vituo vya mafuta. Ukweli ndio huo!
Sasa nakazia, na huu uzi mods waufute tu kwa sababu hali halisi ndivyo ilivyo.
Baadhi ya maeneo nchini hasa wilayani huku mafuta hayapatikani hasa petrol.
Je, tatizo ni nini?
Mbona serikali haitolei ufafanuzi juu ya hili wakati wawakilishi wa serikali kila wilaya wapo ( Wakuu wa Wilaya)?
Kwani huko Dar petrol ipo?
Huku mikoani hasa wilayani hakuna petrol, na kama ipo inauzwa kwa maringo katika vituo vya mafuta. Ukweli ndio huo!