Je pesa ya hostel inakatwa kwenye mkopo?

Je pesa ya hostel inakatwa kwenye mkopo?

Vicin

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2017
Posts
676
Reaction score
295
Wadau nauliza kama umepata mkopo utahitajika kulipia hostel au wanakata kwenye hela ya mkopo?
Kama ndivyo kwahiyo nachotakiwa kufanya ni kwenda mimi kama mimi na vyeti pekee ili nipate hostel au imekaaje?
msaada wenu wadau kwa mnaofahamu. Natanguliza shukrani za Dhabi.
 
katika mkopo ni ada tu ndo inaenda moja kwa moja chuo, lakini pesa nyingine yote kama sfr, meals and acc pamoja na books and st. zinapita chuo kuja kwako moja kwa moja, hivyo wew ndiwe utakaejuwa ugawanye vp na ulipe kutoka hela ipi hiyo gharama ya hostel ukishapata hizo fedha au kabla.
 
katika mkopo ni ada tu ndo inaenda moja kwa moja chuo, lakini pesa nyingine yote kama sfr, meals and acc pamoja na books and st. zinapita chuo kuja kwako moja kwa moja, hivyo wew ndiwe utakaejuwa ugawanye vp na ulipe kutoka hela ipi hiyo gharama ya hostel ukishapata hizo fedha au kabla.
Kwahiyo naweza nikaingia hostel kabla ya kulipia mkopo ukiingia ndio nilipie.
 
Kukaa hostel pesa unatoa mfukoni mwako na kama inategemea mkopo unaweza kukosa hostel maana unatakiwa kuwahi kulipia vinginevo nafasi anapewa mwingine
 
Kukaa hostel pesa unatoa mfukoni mwako na kama inategemea mkopo unaweza kukosa hostel maana unatakiwa kuwahi kulipia vinginevo nafasi anapewa mwingine
Duh...
kwa upande wa ada ya chuo vp? Mchezo ni huo huo pia?
 
Uaweza lipa nusu na nusu nyingine baadae au mpaka yote ya mwaka mzima?
 
Duh...
kwa upande wa ada ya chuo vp? Mchezo ni huo huo pia?


kama kwenye mkopo wako unnalipiwa tuition fee basi fanya uwahi kujisajili kama umeshindwa kujua kiasi cha ada unachotakiwa kulipa wanao husika na usajili watakujuza. Hosteli kwa mzumbe hawakupi hadi uwe umelipa ada ya chuo..na pesa ya hosteli unatakiwa kuilipa wewe na sio bodi ya mkopo
 
Back
Top Bottom