Je, Pasco Mayalla kachochea kufuatiliwa kwa Jamii Media?

Kuna mada 2 humu zilikuwa moto wakuotea mbali sana
1. Sizonje
2. Pogba
Hizi mada watu walifunguka hasa na kila aina ya kejeli kila aina, kuna muda jamaa alikuwa anawafuma wasaidizi wake wakicheka vibweka vya jf. Na wengine wakirusha madongo kwa siri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…