SBAKARI
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 355
- 289
Kabisa yaan,,hasa wasabato mahubil yao ni Papa na Ukatoliki tuuu mxiiiiuuuYani humu jf nimeshakutana na uzi kama tano hivi zote ni kuhusu papa na ukatoliki. Mpaka napata kinyaa juu ya hii kampeni yao. Nadhani wanavyoona krismasi ikipata waumini washerehekeaji wengi wamepagawa. Watakua wameambiwa waanze kusambaza upuuzi wao kwenye mitandao ya kijamii!