Kiyosaki i
Member
- Aug 12, 2021
- 18
- 8
Nina ndugu yangu muhitimu wa diploma ya sheria, kwasasa ni muajiliwa anahitaji kujiendeleza na degree ya sheria,, lakini kupitia THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA, (Chuo kikuu huria Tanzania),,,
naomba kupata ushauri Kama Ni suitable kwa sheria...... ikilinganishwa na anaesomea CAMPUS maana tunajua sheria inavitu vingi.
naomba kupata ushauri Kama Ni suitable kwa sheria...... ikilinganishwa na anaesomea CAMPUS maana tunajua sheria inavitu vingi.