Je, nyoka wanapata ladha ya chakula wanachokula?

Je, nyoka wanapata ladha ya chakula wanachokula?

Shakidinkili

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
458
Reaction score
174
Niliangalia picha za chatu aliyekuwa anammeza swala ambazo ulituwekea humu ndani. Baada ya hayo nilianza kutafakari maisha ya viumbe kama nyoka na wengine wa jamii hiyo, mwisho nikajiuliza.

1.Je, Hawa viumbe wanapata ladha ya chakula wanachokula?

2. Mmeng'enyo wa chakula (Digestion) ukoje kwa viumbe kama hawa, Je, hata mifupa huwa inasagwa yote huko huko tumboni au huwa wanaitapika baadaye au wanaitoa kwa njia ya haja kubwa?

Kama unajua lolote kuhusiana na haya ninaomba unijuze.

NAWASILISHA.
 
Mkuu wanyama wengine tofauti na binaadam wanakula ili wasife(wanaongozwa na njaa)mwenye nafasi ya utashi na uwezo wa kutafakari radha ya msosi ni binaadam,wengine wanakula baada ya njaa kuuma.kama ilivyo kusex wanasex baada ya kutaka kuzaa.

Ndio maana binaadam wanakula vyakula baada ya kuviandaa.na pia kwenye makundi ya vyakula wanavyokula,wanakula aina zote za vyakula herbivores,canivores,omnivores.sjui kama nimeandika sawa.binaadam anapita pote pote huko.wengine ni moja au mawili.

Kuhusu mifupa ya swala na wanyama wengine,inasagwa taratibu sana mpaka inaisha na kuwa kinyesi,chatu na wanyama wengine wa stair yake hukaa muda mrefu kabla hawajala menyu nyingine sababu hiyo.ni miongoni mwa wanyama wenye nyongo kali.

Sent from my radio
 
Mkuu wanyama wengine tofauti na binaadam wanakula ili wasife(wanaongozwa na njaa)mwenye nafasi ya utashi na uwezo wa kutafakari radha ya msosi ni binaadam,wengine wanakula baada ya njaa kuuma.kama ilivyo kusex wanasex baada ya kutaka kuzaa.ndio maana binaadam wanakula vyakula baada ya kuviandaa.na pia kwenye makundi ya vyakula wanavyokula,wanakula aina zote za vyakula herbivores,canivores,omnivores.sjui kama nimeandika sawa.binaadam anapita pote pote huko.wengine ni moja au mawili.

Kuhusu mifupa ya swala na wanyama wengine,inasagwa taratibu sana mpaka inaisha na kuwa kinyesi,chatu na wanyama wengine wa stair yake hukaa muda mrefu kabla hawajala menyu nyingine sababu hiyo.ni miongoni mwa wanyama wenye nyongo kali.

Sent from my radio

Sijui nani aliwaambia fisi vinu vya kutwangia vinautamu, huku nanjilinji ukiacha kinu nje wanabeba kabisa wakakile kwa nafasi.
Simba akiingia kijijini akila ngombe ataondoka, ila akila mtu haondoki mpaka auwawe.
Inawezekana kuna cha ziada japo njaa ikawa kigezo chenye upendeleo.
 
Mkuu wanyama wengine tofauti na binaadam wanakula ili wasife(wanaongozwa na njaa)mwenye nafasi ya utashi na uwezo wa kutafakari radha ya msosi ni binaadam,wengine wanakula baada ya njaa kuuma.kama ilivyo kusex wanasex baada ya kutaka kuzaa.ndio maana binaadam wanakula vyakula baada ya kuviandaa.na pia kwenye makundi ya vyakula wanavyokula,wanakula aina zote za vyakula herbivores,canivores,omnivores.sjui kama nimeandika sawa.binaadam anapita pote pote huko.wengine ni moja au mawili.

Kuhusu mifupa ya swala na wanyama wengine,inasagwa taratibu sana mpaka inaisha na kuwa kinyesi,chatu na wanyama wengine wa stair yake hukaa muda mrefu kabla hawajala menyu nyingine sababu hiyo.ni miongoni mwa wanyama wenye nyongo kali.

Sent from my radio

Sawa kabisa, jawabu sahihi Biologically,

Ngoja nikupe jawabu lingine spiritually....

Kitabu cha Mwanzo 2: Huyo nyoka alikuwa ni mnyama Mzuri kuliko wanyama wote Duniani!!
(soma mwenyewe sura yote, ni story ndefu kidogo).....sasa baada ya kulaaniwa na Mwenyezi Mungu, Nyoka akapoteza viungo vyote bora (hadi miguu,anatembea kwa kuburuzika tumbo, this according to revelation) akaambiwa "utakula mavumbi ya nchi ,.. ulimi wake hauna shape ya kula na kusikia ladha, nyongo yake, damu ni baridi na iliyojaa sumu, LAKINI, kaubongp ka mdudu huyu, ni xtra sharp

NB utanisamehe kama nimekosea mada yako
 

Sawa kabisa, jawabu sahihi Biologically,

Ngoja nikupe jawabu lingine spiritually....

Kitabu cha Mwanzo 2: Huyo nyoka alikuwa ni mnyama Mzuri kuliko wanyama wote Duniani!!
(soma mwenyewe sura yote, ni story ndefu kidogo).....sasa baada ya kulaaniwa na Mwenyezi Mungu, Nyoka akapoteza viungo vyote bora (hadi miguu,anatembea kwa kuburuzika tumbo, this according to revelation) akaambiwa "utakula mavumbi ya nchi ,.. ulimi wake hauna shape ya kula na kusikia ladha, nyongo yake, damu ni baridi na iliyojaa sumu, LAKINI, kaubongp ka mdudu huyu, ni xtra sharp

NB utanisamehe kama nimekosea mada yako


Uko sawa kabisa mkuu.

Sent from my radio
 

Sawa kabisa, jawabu sahihi Biologically,

Ngoja nikupe jawabu lingine spiritually....

Kitabu cha Mwanzo 2: Huyo nyoka alikuwa ni mnyama Mzuri kuliko wanyama wote Duniani!!
(soma mwenyewe sura yote, ni story ndefu kidogo).....sasa baada ya kulaaniwa na Mwenyezi Mungu, Nyoka akapoteza viungo vyote bora (hadi miguu,anatembea kwa kuburuzika tumbo, this according to revelation) akaambiwa "utakula mavumbi ya nchi ,.. ulimi wake hauna shape ya kula na kusikia ladha, nyongo yake, damu ni baridi na iliyojaa sumu, LAKINI, kaubongp ka mdudu huyu, ni xtra sharp

NB utanisamehe kama nimekosea mada yako
so kabla ya kulaaniwa alikuwa na miguu kama mamba nk? au alikuwa anafananaje?....na kwa umbo alilonalo sasa hakuna mnyama aliyekuwa nalo...nikimaanisha ina maana historia ya uumbaji kuwa Mungu aliumba siku ya kwanza hiki....mpaka siku ya saba alipoamuamua kupumzika alikuwa hajaumba kiumbe anayefanana na nyoka? so uumbaji haukukamilika?
 
Sijui nani aliwaambia fisi vinu vya kutwangia vinautamu, huku nanjilinji ukiacha kinu nje wanabeba kabisa wakakile kwa nafasi.
Simba akiingia kijijini akila ngombe ataondoka, ila akila mtu haondoki mpaka auwawe.
Inawezekana kuna cha ziada japo njaa ikawa kigezo chenye upendeleo.

Akila mtuu ashibi so anakuwa anavuta mdaaa apate mwingine au chakuongezea katika mlo wake but uzito wa ng'ombe na binadamu tofaut akila ng'ombe anashiba haraka coz ni mkubwa na kilo zake ni nyingi kuliko za binadamu
 
Na je wajua kuwa Binaadamu hawezi kupata ladha ya kitu atakachokula mpaka kichanganyikane na Mate yake!
 
Mkuu wanyama wengine tofauti na binaadam wanakula ili wasife(wanaongozwa na njaa)mwenye nafasi ya utashi na uwezo wa kutafakari radha ya msosi ni binaadam,wengine wanakula baada ya njaa kuuma.kama ilivyo kusex wanasex baada ya kutaka kuzaa.

Ndio maana binaadam wanakula vyakula baada ya kuviandaa.na pia kwenye makundi ya vyakula wanavyokula,wanakula aina zote za vyakula herbivores,canivores,omnivores.sjui kama nimeandika sawa.binaadam anapita pote pote huko.wengine ni moja au mawili.

Kuhusu mifupa ya swala na wanyama wengine,inasagwa taratibu sana mpaka inaisha na kuwa kinyesi,chatu na wanyama wengine wa stair yake hukaa muda mrefu kabla hawajala menyu nyingine sababu hiyo.ni miongoni mwa wanyama wenye nyongo kali.

Sent from my radio
Kwa hapo kwenye RED Mungu aliwapa wanyama ustaarbu sana kwenye tendo la Kusex kuliko sisi binaadamu kwakua sisi kwenye tendo kama hilo hatuna ustaarabu ukishaona Sketi ya shule tu Imesimama!
 
Nilisikia kuwa nyama ya binadamu ina ladha ya chumvi tofauti na wanyama
 
Siyo kweli ndugu, kama wanakula wasife, iweje ukimwekea ng'ombe Pumba na majani mara nyingi hukimbilia pumba? Iweje ukimuwekea paka nyama na samaki hukimbilia samaki? Iweje ng'ombe ambea hapendi kunywa maji ukimuwekea chumvi maalum anakunywa? Iweje chatu ukimwekea mbwa na mnyama mwngne hukimbilia kummeza mbwa? Majibu please!
Mkuu wanyama wengine tofauti na binaadam wanakula ili wasife(wanaongozwa na njaa)mwenye nafasi ya utashi na uwezo wa kutafakari radha ya msosi ni binaadam,wengine wanakula baada ya njaa kuuma.kama ilivyo kusex wanasex baada ya kutaka kuzaa.

Ndio maana binaadam wanakula vyakula baada ya kuviandaa.na pia kwenye makundi ya vyakula wanavyokula,wanakula aina zote za vyakula herbivores,canivores,omnivores.sjui kama nimeandika sawa.binaadam anapita pote pote huko.wengine ni moja au mawili.

Kuhusu mifupa ya swala na wanyama wengine,inasagwa taratibu sana mpaka inaisha na kuwa kinyesi,chatu na wanyama wengine wa stair yake hukaa muda mrefu kabla hawajala menyu nyingine sababu hiyo.ni miongoni mwa wanyama wenye nyongo kali.

Sent from my radio
 
Sijui nani aliwaambia fisi vinu vya kutwangia vinautamu, huku nanjilinji ukiacha kinu nje wanabeba kabisa wakakile kwa nafasi.
Simba akiingia kijijini akila ngombe ataondoka, ila akila mtu haondoki mpaka auwawe.
Inawezekana kuna cha ziada japo njaa ikawa kigezo chenye upendeleo.

duh hii kali.hadi kinu anakula
 
hili la kujua ladha hatuna uwezo kuwaulizi wangetoa majibu muafaka kabisa.
Lakini mdau aliochangia kuwa ng'ombe ukimuwekea pumba na nyasi anaiona pumba kama biriani nahisi kuna ukweli fulani hapo.
 
Siyo kweli ndugu, kama wanakula wasife, iweje ukimwekea ng'ombe Pumba na majani mara nyingi hukimbilia pumba? Iweje ukimuwekea paka nyama na samaki hukimbilia samaki? Iweje ng'ombe ambea hapendi kunywa maji ukimuwekea chumvi maalum anakunywa? Iweje chatu ukimwekea mbwa na mnyama mwngne hukimbilia kummeza mbwa? Majibu please!

On top of that, mbona nilisikia nyani na nyangumi huwa wanasex for funny?
 
Na ile harufu ya mpunga porini utotoni tulisema ni ya nyoka.Kuna ukweli hapo bandugu?
 
Mkuu wanyama wengine tofauti na binaadam wanakula ili wasife(wanaongozwa na njaa)mwenye nafasi ya utashi na uwezo wa kutafakari radha ya msosi ni binaadam,wengine wanakula baada ya njaa kuuma.kama ilivyo kusex wanasex baada ya kutaka kuzaa.

Ndio maana binaadam wanakula vyakula baada ya kuviandaa.na pia kwenye makundi ya vyakula wanavyokula,wanakula aina zote za vyakula herbivores,canivores,omnivores.sjui kama nimeandika sawa.binaadam anapita pote pote huko.wengine ni moja au mawili.

Kuhusu mifupa ya swala na wanyama wengine,inasagwa taratibu sana mpaka inaisha na kuwa kinyesi,chatu na wanyama wengine wa stair yake hukaa muda mrefu kabla hawajala menyu nyingine sababu hiyo.ni miongoni mwa wanyama wenye nyongo kali.

Sent from my radio

Siyo kweli ndugu, kama wanakula wasife, iweje ukimwekea ng'ombe Pumba na majani mara nyingi hukimbilia pumba? Iweje ukimuwekea paka nyama na samaki hukimbilia samaki? Iweje ng'ombe ambea hapendi kunywa maji ukimuwekea chumvi maalum anakunywa? Iweje chatu ukimwekea mbwa na mnyama mwngne hukimbilia kummeza mbwa? Majibu please!

Wanyam wana hupata radha kama kawaida sema hutofautian huwezo wa kuhisi hiyo radha.

Pitia hapa kidgo http://www.mnn.com/earth-matters/animals/stories/do-foods-taste-the-same-to-animals-as-they-do-to-us
 
so kabla ya kulaaniwa alikuwa na miguu kama mamba nk? au alikuwa anafananaje?....na kwa umbo alilonalo sasa hakuna mnyama aliyekuwa nalo...nikimaanisha ina maana historia ya uumbaji kuwa Mungu aliumba siku ya kwanza hiki....mpaka siku ya saba alipoamuamua kupumzika alikuwa hajaumba kiumbe anayefanana na nyoka? so uumbaji haukukamilika?

Mkuu ukijibiwa maswali haya na ukaridhika na majibu na mimi nishitue niongeze elimu.
 
Nyoka na wanyama wengine wana uono tofauti binadamu, wengine wanaona vivuli tu, wengine wanatumia infrared rays kuona, wengine hawaoni kabisa japo wana macho lakini macho hayo yana sensi mawimbi ya frequensi fulani ambayo sisi hatuwezi kusensi/kung'amua
 
Back
Top Bottom