Je, nyoka wanapata ladha ya chakula wanachokula?

Je, nyoka wanapata ladha ya chakula wanachokula?

Nyoka anakula sababu ya Njaa tu vile vile anatuzingua.. simpendi kinoma
 
Nina-wildlife knowledge na mambo mengine yanayohuxu living organisms kwa ujumla!
maswali yako yanahitaji maelezo marefu,ila kwa ufupi viumbe hai wamegawanyika katika makundi mbalimbal [ classification ] kulingana na tabia zao, ambapo kuna ranks 7,mfano chatu/sawaka au Python( in english ) yeye humeza na digestion yake ni slow, so anaweza survive 3 week mpaka miez 2 ndo ale tena but inategemea amemeza kiumbe cha ukubwa gan,kipind hcho huwa anakunywa maji 2! ladha wanaisikia coz ndo chakula chao cha kila cku....tena weng wana-feed 1 type of food!!
 
Na ile harufu ya mpunga porini utotoni tulisema ni ya nyoka.Kuna ukweli hapo bandugu?

Yah ni kweli! kuna baadhi ya nyoka hatari hutoa ishara kuwa wapo katika hilo eneo so uwe makini....Mfano: nyoka jamii ya Mambas mf. black mamba na jamii ya adders mf. puff adder ( kifutu ) wao huwa wanafoka na kuvimba! pia kuna wale ambao hutoa harufu ya wali, mfano jamii ya python ( chatu ) Na Cobras mf. Egyptian Cobra.. wao hutoa harufu ya wali!!!
 
unajua hizo hadithi mara nyingi hazina majibu, ngoja tusubiri!!

kaka hakuna swali linalokosa jibu, tatizo watu wengi hawana ufahamu wa kufuatilia mambo mengine...wengi wanawaza wapate pesa, wale, walale, wavae basi...lakin kusema wapanue elimu na ufahamu wao hamna!!!!
 
Akila mtuu ashibi so anakuwa anavuta mdaaa apate mwingine au chakuongezea katika mlo wake but uzito wa ng'ombe na binadamu tofaut akila ng'ombe anashiba haraka coz ni mkubwa na kilo zake ni nyingi kuliko za binadamu

kwa ujumla, wanyama wanaokula nyama wanakadiliwa kula chini ya robo ya uzito wao, hivyo kilo 30 tosha kwa mlo mmoja wa simba wa kawaida.

Mwaka ule nilioenda ukweni Doma kumfuata namatoto nilijifunza huko wanaepuka kulima mpunga na maboga vitu hivyo vinapendwa na Tembo.

Ukifuga mbwa mzoeshe chakula bila chumvi, atakapopewa chenye chumvi hali, nategemea wanaitambua chumvi kwa ulimi.

Ukitaka kukamata njiwa wa jirani nunua mtama, watatua hata kwenye kichwa.

Ukubwa wa mwili wa mnyama ndio unasababisha kupunguza chaguo la chakula vinginevyo wanapendelea aina fulani ya chakula, hivyo kupelekea kuamini wanapata ladha ya wanachokula.
 
duh hii kali.hadi kinu anakula
fisi mroho kupindukia, kwa huku tulipo vilabu vya pombe vipo mbali kidogo, ukiwa unarudi umelewa wanakufuata nyuma wakiamini mikono ya mlevi itadondoka wakati wowote wafaidi nyama, wanakufuata wakiwa wanacheka kwa furaha mno. Sasa ikitokea mlevi kafika kwake salama hawa jamaa wanazunguka nyumba wakikuta hata kinu wanabeba.
 
Akila mtuu ashibi so anakuwa anavuta mdaaa apate mwingine au chakuongezea katika mlo wake but uzito wa ng'ombe na binadamu tofaut akila ng'ombe anashiba haraka coz ni mkubwa na kilo zake ni nyingi kuliko za binadamu
Mkuu Simba Akila Binadam Hata Akiwa Porin/hifadhin Ataacha Kuwinda Wanyama Wengne Na Atakomaa Kuwinda Binadam Tu Ishara Ya Kuwa Anatambua Radha Ya Chakula Na Binadam Ni Mtam Kuliko Wengne..Hata Chati Ukiweka Mbuz Na Mbwa Ataamla Mbwa Kwanza Hii Inaonyesha Kwa Chatu Mbwa Ni Mtam Kuliko Mbuz Hvi Nahitimisha Kwa Kusema Wanatambua Radha Ya Wanachokula.
 

Sawa kabisa, jawabu sahihi Biologically,

Ngoja nikupe jawabu lingine spiritually....

Kitabu cha Mwanzo 2: Huyo nyoka alikuwa ni mnyama Mzuri kuliko wanyama wote Duniani!!
(soma mwenyewe sura yote, ni story ndefu kidogo).....sasa baada ya kulaaniwa na Mwenyezi Mungu, Nyoka akapoteza viungo vyote bora (hadi miguu,anatembea kwa kuburuzika tumbo, this according to revelation) akaambiwa "utakula mavumbi ya nchi ,.. ulimi wake hauna shape ya kula na kusikia ladha, nyongo yake, damu ni baridi na iliyojaa sumu, LAKINI, kaubongp ka mdudu huyu, ni xtra sharp

NB utanisamehe kama nimekosea mada yako


Mmeshaanza hadithi zenu. Jamaa hapo juu kajibu vizuri wewe unaleta stori za kusadikika. Kwa nini Mungu alimlaani nyoka?
 
Back
Top Bottom