mgogoone JF-Expert Member Dec 28, 2015 2,902 2,096 Feb 20, 2017 #81 Mkaruka said: Ndugu yangu kwa sasa hakuna mtu mwenye nguvu ya Kufanya maamuzi makubwa ya nchi kisiasa hapa nchini kama MKAPA Click to expand... Na Nkapa ndio aliifilisi nchi yetu.Yule chio ntu
Mkaruka said: Ndugu yangu kwa sasa hakuna mtu mwenye nguvu ya Kufanya maamuzi makubwa ya nchi kisiasa hapa nchini kama MKAPA Click to expand... Na Nkapa ndio aliifilisi nchi yetu.Yule chio ntu
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Nov 13, 2009 43,707 60,765 Feb 20, 2017 #82 Pohamba said: Viroba na Madawa ya kulevya ilikuwa ndio Nguzo ya BAVICHA! Click to expand... Na nguzo ya UVCCM ni hii hapa..
Pohamba said: Viroba na Madawa ya kulevya ilikuwa ndio Nguzo ya BAVICHA! Click to expand... Na nguzo ya UVCCM ni hii hapa..
N NAKWEDE JF-Expert Member Aug 1, 2007 27,971 35,113 Feb 20, 2017 #83 Ng'egera said: He!nyerere amefariki 91 kweli vioja wakati uchaguzi Wa 95 Alimpigia kampeni mkapa Click to expand... typing error Ng'egera ilikuwa ni taipu 1999
Ng'egera said: He!nyerere amefariki 91 kweli vioja wakati uchaguzi Wa 95 Alimpigia kampeni mkapa Click to expand... typing error Ng'egera ilikuwa ni taipu 1999
N NAKWEDE JF-Expert Member Aug 1, 2007 27,971 35,113 Feb 20, 2017 #84 mshana jr said: 0 Click to expand... ilikuwa ni taiup 1999 sio 1991
N NAKWEDE JF-Expert Member Aug 1, 2007 27,971 35,113 Feb 20, 2017 #85 Sexer said: nani huyo akaitwa mbele ya haki 1991 Click to expand... 1999
INGENJA JF-Expert Member Sep 11, 2012 4,990 4,255 Feb 20, 2017 #86 Ibambasi said: Kabisa. Kwamba Mungu hawezi kukupatia vyote...mfano Lowassa kukkosa urais licha ya kuwekeza mabilioni, funzo la pili ni kwamba Mungu humuinua mwenye haki, mfano Magufuli Click to expand... kweli Mungu huyohuyo huwaweka madarakani viongozi wa jeuri kama Magufuli ilikuonyesha na kudhihirisha utukufuwake refer Daniel na mfalme Nebukedneza
Ibambasi said: Kabisa. Kwamba Mungu hawezi kukupatia vyote...mfano Lowassa kukkosa urais licha ya kuwekeza mabilioni, funzo la pili ni kwamba Mungu humuinua mwenye haki, mfano Magufuli Click to expand... kweli Mungu huyohuyo huwaweka madarakani viongozi wa jeuri kama Magufuli ilikuonyesha na kudhihirisha utukufuwake refer Daniel na mfalme Nebukedneza
Ibambasi JF-Expert Member Jul 25, 2007 9,277 4,683 Feb 20, 2017 #88 INGENJA said: kweli Mungu huyohuyo huwaweka madarakani viongozi wa jeuri kama Magufuli ilikuonyesha na kudhihirisha utukufuwake refer Daniel na mfalme Nebukedneza Click to expand... Biblia ni story tu za wayahudi
INGENJA said: kweli Mungu huyohuyo huwaweka madarakani viongozi wa jeuri kama Magufuli ilikuonyesha na kudhihirisha utukufuwake refer Daniel na mfalme Nebukedneza Click to expand... Biblia ni story tu za wayahudi
INGENJA JF-Expert Member Sep 11, 2012 4,990 4,255 Feb 21, 2017 #89 Ibambasi said: Biblia ni story tu za wayahudi Click to expand... wayahudi ni kina nani
Ibambasi JF-Expert Member Jul 25, 2007 9,277 4,683 Feb 21, 2017 #90 INGENJA said: wayahudi ni kina nani Click to expand... Wayahudi
IPILIMO JF-Expert Member Oct 13, 2012 1,819 799 Feb 21, 2017 #91 Yani hapa ilitaka kuwa: NYERERE-MWINYI-MKAPA-KIKWETE-LOWASA-MEMBE-??? HIYO NI TANU/CCM