Je, nitumie mbao gani kutengeneza frame za milango na milango bora?

Je, nitumie mbao gani kutengeneza frame za milango na milango bora?

Bigsteve

Member
Joined
Nov 23, 2017
Posts
37
Reaction score
60
Habari wakuu,natumaini mko poa..

Nina ishu ktk kumalizia kibanda changu, nahitaji frame za milango na milango/top kwa ajili ya milango ya nje miwili mkubwa (double) na mdogo wa kawaida.
Kwa wataalam naomba ushauri

1. Ni mbao zipi zinafaa kwa ajili ya frame na zipi kwa ajili ya milango/top?

2. Je ipi bajeti/bei yake ili nijiandae financially kwa ajili ya hiyo milango miwili mpaka ikamilike.

Kumbuka nina kiasi cha kuunga unga kwa ajili ya hii kazi ili ikamilike nihamie kwangu.
kwa ufupi nahitaji frame na milango mizuri japo iwe na kiwango cha kuridhisha.
 
Habari wakuu,natumaini mko poa....
Nina ishu ktk kumalizia kibanda changu,nahitaji frame za milango na milango/Top kwa ajili ya milango ya nje miwili mkubwa (double) na mdogo wa kawaida.
Kwa wataalam naomba ushauri
1. ni mbao zipi zafaa kwa ajili ya frame na zipi kwa ajili ya milango/top?
2. Je ipi bajeti/bei yake ili nijiandae financially kwa ajili ya hio milango miwili mpaka ikamilike.
Kumbuka nina kiasi cha kuunga unga kwa ajili ya hii kazi ili ikamilike nihamie kwangu.
kwa ufupi nahitaji frame na milango mizuri japo iwe na kiwango cha kuridhisha.
Mninga ndo kila kitu.....andaa kama 800k kwa idadi hiyo ya milango
 
Hio 800k ina maana itajumuisha gharama za frame na milango 2
 
Mninga ,kuhusu gharama itategemea upo mkoa upi kuna mikoa mninga bei ipo chini sana mfano tabora.
 
Frame ya mninga 180..mpaka 300 inategemea na ukubwa wa mlango na ujazo wa frame mi nko mbeya
 
Frame ya mninga mlango wa mbele 18000+ top double door 500000 mlango wa kawaida frame 150000+top 300000 mpk hapo jibu unalo ni bei gani
 
Habari wakuu,natumaini mko poa..

Nina ishu ktk kumalizia kibanda changu, nahitaji frame za milango na milango/top kwa ajili ya milango ya nje miwili mkubwa (double) na mdogo wa kawaida.
Kwa wataalam naomba ushauri

1. Ni mbao zipi zinafaa kwa ajili ya frame na zipi kwa ajili ya milango/top?

2. Je ipi bajeti/bei yake ili nijiandae financially kwa ajili ya hiyo milango miwili mpaka ikamilike.

Kumbuka nina kiasi cha kuunga unga kwa ajili ya hii kazi ili ikamilike nihamie kwangu.
kwa ufupi nahitaji frame na milango mizuri japo iwe na kiwango cha kuridhisha.
Mninga, mkongo, ni mzuri.
Pia sasahivi kuna mtu wa porini unaitwa mpanganga una ranging nyeusi ama kahawia nimzuri pia ngumu na unakubali vanishi.

Fremu za hiyo miti yote ni 140,000/= na top ni 250,000 single na 350,000/= double.
 
Kuna fundi nilimpata akanishauri nitumie Mnangu au Mtondoro kwenye frame,sijajua ubora wake.
Kwa top ameshauri kwa uwezo wangu wa kifedha nitumie Mpodoo je mlango utakuwa na ubora wowote?
 
Mkuu mlango mkubwa na ule wa uani usitumie mbao,weka mlango wa bati gumu tumezoea kuita geti.Usiweke fremu ya mbao wala top ya mbao.Tafuta fundi mzuri geti litapendeza na gharama yake kwa dar ni kiasi cha laki mbili na nusu kwa kila geti.
 
Back
Top Bottom