Zombi Mweusi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 842
- 1,743
Wakuu nina hoja ya kuwashirikisha,
Nina mchepuko na kama utapitia thread au michango kwenye thread za watu nazochangia utagundua nipo na ukweli
Ipo hivi mchepuko kabeba mimba ila kubeba mimba sio tatizo nataka kutompoteza mtoto nilichopanga ni kukwepa lawama kutoka kwa mtoto kuwa nilimkataa
Nataka kuandikisha jina la mtoto upande wa mama ili mtoto means atumie jina la baba na babu wa mama yangu mzazi
Je, nitakuwa sahihi wanaume wenzangu
Nina mchepuko na kama utapitia thread au michango kwenye thread za watu nazochangia utagundua nipo na ukweli
Ipo hivi mchepuko kabeba mimba ila kubeba mimba sio tatizo nataka kutompoteza mtoto nilichopanga ni kukwepa lawama kutoka kwa mtoto kuwa nilimkataa
Nataka kuandikisha jina la mtoto upande wa mama ili mtoto means atumie jina la baba na babu wa mama yangu mzazi
Je, nitakuwa sahihi wanaume wenzangu