Pole sana!
Ila kama mkeo hana tatizo kurudi kuwa single ni sawa nakutaka urudi tumboni kwa mama yako ili iwe mimba! nacho maanisha labda ukafanyiwe operation ya kutofeel kufanya tendo la 6x6 kama hutaki kutoa matumizi!
Hapa Duniani ukisha zaliwa mwanaume utakula kwa jasho lako na familia mtu wa kwanza kum-exploit ni wewe!
ushauri wangu kwako:
1. Kuwa na nidhamu ya Fedha = sio kila kitu unacho kipenda lazima ukinunue ili mradi fedha iko mfukoni la hasha unapaswa kupangilia vitu vya kununua ukiwa nyumbani chochote utakacho kikuta njiani kama hakiko kwenye orodha yako hata kama unakipenda achana nacho.
2.Badilika = unapooa hupaswi kuishi maisha ya usingle at the same time ya ndoa, unapaswa kuhama hiyo stage ya usingle mfano Chakula ni lazima kula nyumbani labda kama inapotokea kuna ulazima wa kula nje na nyumbani mfano mchana uwapo kazini, sio uko mtaani tu unanunua chakula,unanunua vinywaji ovyo, ukiona kitumbua huyo, ukiona mwanamke huyo! kila kitu ikiwemo papuch jijengee utaratibu wa kula home hata ukinunua mtaani basi kilike home!
3. Kuwa Transparent kwa mkeo hasa swala la kipato ikiwezekana mshahara ukitoka mkabidhi yeye alafu pangeni matumizi kwa pamoja yeye awe mhasibu wa nyumbani alafu wewe ni m/kiti wa nyumbani. Hivyo nyote wawili mtaishi mkiwa mnajua uhalisia wa mfuko na hautapata shida lakini kama matumizi unakabwa shati ahsubuhi mzee unahesabia mfukoni lazima maisha yawe magumu.
4.Kama ulioa mke wa level ya juu ya maisha zaidi yako mdrag down to your level alafu use your exprience in your level ili aweze kuishi kama wewe ulivyokuwa unaishi!
Be smart kijana! mimi sijaoa lakini nilikuwa naona matumizi yote tunatoa kwa mama na hakuwa na kazi, ukimuomba baba hela anasema muone mama yako kiasi anacho kupa shangaa ukimuomba tena baba next time utasikia situlikupa kiasi kadhaa siku fulani anamwambia mama usimpe kweli mama hatoi kama shida ni mhimu mama anamshawishi baba unasikia haya mpe! maana yangu hapa nikuwa umechukua majukumu yote kuanzia kufikiri,kuhifadhi fedha,kutafuta,kutumia hata kujishauri unapaswa kugawana na mkeo majukumu.
Nikioa ntaishi kwa gharama nafuu sana kuliko nilivyo single naamini hivyo na itakuwa hivyo!!!!!!!!!!!