Big Lady
JF-Expert Member
- Nov 23, 2009
- 546
- 75
- Thread starter
- #101
Mama, kumbuka hapo nyuma umejitetea/jieleza kuwa hamchangii baba wala mama. Nami nimekujibu from the same angle. Sasa umekuja na hoja ya mahusiano ya damu. Ok!
Ikiwa A anamwita B, baba ni lazima atamwita mama yako mama. A na dada yako wanauhusiano wa damu wa moja kwa moja zaidi ya yale ya mtoto wa baba mkubwa. Then, jiweke wewe kwenye nafasi ya A. Je! Ni halali kwake kumwoa mtoto wa mama mkubwa (mke wa baba mkubwa) ambaye hakuzaa na baba mkubwa? Ndani ya mada, je ni halali A kumwoa mtoto wa mama wa kambo ambaye mama wa kambo hakuzaa na baba yako?
Du! LOL, nimeshindwa hata kuunganisha hata huo undugu unao ukokotoa lol