ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,255
- 8,346
Big up mamaa, naamini mwisho wa siku utajua usimamie wapi, mimi hapa nimechemsha kabisa, inanikumbusha hesabu za mlinganyo enzi zile primary. Ukichuja ushauri uchanganye na zako uje utupe jibu hapahapa kwamba umeamua nini, all da best
Umeona eeeh, lakini naanza kupata Mwanga kutokana na ushauri ninaopata.