MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,496
- 8,731
Hawa watu unaweza kuta kuanzia Babu, Bibi, wajomba, Mama wadogo, watoto, Wajukuuu, wote wanaishi nyumba moja na kwa upendo mkubwa mno.
Wabongo hii haiwezekani kabisa, make kusengenyana, kudharauliana na kadhalika kutakuwepo tu tena kwa wingi sana.
Na ndio basi hata hawa watu kwa kupigana tafu wako vizuri sana, wanainuana wao kwa wao.
Wabongo mtu kumpiga tafu tu kaka yake au Mdogo wake anaona hapa, hata saa zingine wazazi wake kabida.
Nini siri ya hawa watu kuishi pamoja kwa upendo mkubwa sana na kwa nini sisi tunashindwa?
Wabongo hii haiwezekani kabisa, make kusengenyana, kudharauliana na kadhalika kutakuwepo tu tena kwa wingi sana.
Na ndio basi hata hawa watu kwa kupigana tafu wako vizuri sana, wanainuana wao kwa wao.
Wabongo mtu kumpiga tafu tu kaka yake au Mdogo wake anaona hapa, hata saa zingine wazazi wake kabida.
Nini siri ya hawa watu kuishi pamoja kwa upendo mkubwa sana na kwa nini sisi tunashindwa?