Thread Starter
JF-Expert Member
- Mar 16, 2017
- 1,394
- 1,070
Mrudishiye simu yake nunua yako uspate shda
Sent from my Android phone
Sent from my Android phone
Unauliza makofi polisi mkuu? Hadi WhatsApp kakuunganishia yeye siyo?
Kaka samahani anakudukuwa kwa whatsapp tu au na njia nyingine I mean normal sms.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya "iCloud account" kaa ukijua alipo anasoma hadi phone book ya hata picha zote unazopiga na kusave kwenye hiyo simu. Mpaka ubadilishe hiyo account.
Unasema mkeo alikuwa anasoma China???
Hahaha....nina uhakika asilimia 89.99 kuwa mkeo alikuwa na mchepuko huko, wadada/wamama wanasoma China ni nadra mno kukosa mwanaume wa kumliwaza...
Kumbe unapenda vitu fake eeee,hiyo iliyoka china niya kufanyia udukuzi,mpaka ukienda haja si utaambiwa hukutawaza ???uko mkoa gani ili tubadilishane na hii yangu tecno wereva udukuzi uishe.....mie hata akinidukua itakuwa kazi bure tu.
Mi kuna mngese mmoja alinifanyia hivyo, nikitongozwa au kurefresh na marafiki some where unamkuta ye katangulia eneo la tukio!Kuna mtu alichukua simu yangu akanifanyia huo upuuzi aiseee nilimbadilikia hakuamini......that's childish
..Vizuri..nenda kwe browser andikawe.whatsapp.com
fuata maelekezo ikikaumbia tayari whats app yako imeunganishwa na browser nyengine basi ni udukuzi plus plus
Kama simu kanunuliwa na mkewe kwa malengo maalum, atabadilishanaje nawe na abaki salama?uko mkoa gani ili tubadilishane na hii yangu tecno wereva udukuzi uishe.....mie hata akinidukua itakuwa kazi bure tu.
Umesema ni iPhone?
Fanya hivi
Badili email adress yako nina maana fungua account mpya hata ya Hotmail ama gmail, kisha tengeneza Apple id mpya kutumia email mpya, kisha restore iPhone, erase everything......ikiwaka tengeneza icloud yako kupitia Apple id mpya.....usije format simu wakati hujui au umesahau ID iliyopo sasa na password yake.....maana hutoitumia tena hiyo simu......Activation ni lazima uwe na previous Apple ID.[/QUOTE
Uko deep
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wewe ulimvumilia huyo mimi nilimganda hapo hapo nikamwambia upuuzi wako sitaki naomba tuache kufuatiliana.....mbona alitoa na nilimuacha siku hiyo hiyoMi kuna mngese mmoja alinifanyia hivyo, nikitongozwa au kurefresh na marafiki some where unamkuta ye katangulia eneo la tukio!![]()
![]()
..
Nilivyogundua stimu zilikata hapo hapo, na mapenzi mi na yy yakafilia mbali!
Yaan ni moja ya tabia chafu sana mpenzi wako akiwa hivyo!
Sent using Jamii Forums mobile app