Je, ninadukuliwa na huyu mwanamke?

Je, ninadukuliwa na huyu mwanamke?

Hongera kwa kupewa iphone mkuu! Lakini ungemalizia tu na brand ili tuisome namba vizuri, so... ni iphone 7 au?
 
Acha hizo mkuu!!
Nimekueleza black and white, kama huniamini basi tafuta mtu yoyote aliyewahi kuishi au kusoma huko umuulize...

Bwana mdogo tumeshuhudia wake za watu wakiwekwa ndani kinyumba huko, tena asilimia kubwa na njemba za West Africa...
 
Mi kuna mngese mmoja alinifanyia hivyo, nikitongozwa au kurefresh na marafiki some where unamkuta ye katangulia eneo la tukio! ..

Nilivyogundua stimu zilikata hapo hapo, na mapenzi mi na yy yakafilia mbali!

Yaan ni moja ya tabia chafu sana mpenzi wako akiwa hivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli witnessj, kama kweli alikufanyia hivyo na uhusiano wote nao ufe kabisa. Kila biandamu anadeserve privacy. Mahusiano ya aina yeyote ile hayatakiwi kuingilia uhuru wako kama binadamu.
 
Nimekueleza black and white, kama huniamini basi tafuta mtu yoyote aliyewahi kuishi au kusoma huko umuulize...

Bwana mdogo tumeshuhudia wake za watu wakiwekwa ndani kinyumba huko, tena asilimia kubwa na njemba za West Africa...
True mkuu wanararuliwa na wanaija!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaaa mzee hapo
Fanya uchunguz kam kwel hyo iphne ndo inadukuliwa

Ushauri zina hiyo ya zawada kwa siku kadhaa lafu kam ni lain amishia kweny cm ndogo( goroka)

Anza kuchepuka sas kam akianza ten vijembe vyake

Hapo inakubidi upambane na hali.yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana....

Aendelee kukudukua tu hakuna namna

Uko nae micheps ya nini sasa?
 
Kila biandamu anadeserve privacy. Mahusiano ya aina yeyote ile hayatakiwi kuingilia uhuru wako kama binadamu.
Hii ndio changamoto ya mahusiano ya leo.

Mimi binafsi siungi mkono privacy ktk ndoa yangu. Pamoja na historia yangu chafu ya uhuni kipindi cha nyuma Mungu alinisaidia mke mwema nimeamua nitulie. Nilishaclear dead wood niko free.
 
Back
Top Bottom