CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 7,617
- 16,711
Habari wakuu.
Nimeamka nije hapa Jamii Forum niweze kupata Ushauri WENU ndugu zangu.
Ninasumbuliwa na Ugonjwa kwa Miezi Mitatu sasa.
Historia Fupi ya Ugonjwa.
Nilikuwa nasumbuliwa na kikohozi kikavu kwa week Tatu kuanzia Tarehe Tano 5 Desember 2022 Hadi 23 Desember 2022.
Ndipo nilipona Baada ya kutumia helbal medicine
Sijawahi kuugua kikohozi Maishani MWANGU.
Nikalazimika kutumia Tangawizi kwa wiki Nzima bila nafuu yoyote.
Nikatafuta mchanganyiko wa kitunguu + Limao + Majani ya Limao + Tangawizi.
Nikanywa kwa wiki Tatu.
Bila nafuu yoyote.
Ghafla tarehe 20 Desember nikajihisi Ugonjwa Homa Kali sana.
Baada ya siku Mbili vidonda vya tumbo vililipuka yaani tarehe 22.
Niliwahi huugua vidonda na kupona miaka Saba iliyopita. Lakini vilirudi Mwaka 2022.
Nimejaribu kutumia Kila aina ya Dawa bila mafaniko.
1. Nimetumia Dawa za muhimbili.
2. Nimetumia Dawa za Tiba mbadala Muhimbili.
3. Nimetumia Kila aina ya Dawa hata kutoka Congo Malawi nk.
4. Nimetumia Dawa karibia 20 lakini tatizo Bado linanisumbua Mno.
1. Ninapata maumivu makali sana Pale ninaponyanyua kitu chenye zaidi ya kilo Kumi.
2. Nikijinyoosha usiku ninapatwa maumivu makali sana.
3. Ninashindwa na kazi ndogo sana kufagia chumbá, kufua nk.
Nimesitisha MATUMIZI ya vyakula kama Tangawizi, pilau, Dagaa,
Maharage, Juice, soda nk.
NIMEKUJA KWENU NDUGU ZANGU MPATE KUNISAIDIA.
NAOMBENI MSAADA WENU.
NATANGULIZA SHUKRANI.
Nimeamka nije hapa Jamii Forum niweze kupata Ushauri WENU ndugu zangu.
Ninasumbuliwa na Ugonjwa kwa Miezi Mitatu sasa.
Historia Fupi ya Ugonjwa.
Nilikuwa nasumbuliwa na kikohozi kikavu kwa week Tatu kuanzia Tarehe Tano 5 Desember 2022 Hadi 23 Desember 2022.
Ndipo nilipona Baada ya kutumia helbal medicine
Sijawahi kuugua kikohozi Maishani MWANGU.
Nikalazimika kutumia Tangawizi kwa wiki Nzima bila nafuu yoyote.
Nikatafuta mchanganyiko wa kitunguu + Limao + Majani ya Limao + Tangawizi.
Nikanywa kwa wiki Tatu.
Bila nafuu yoyote.
Ghafla tarehe 20 Desember nikajihisi Ugonjwa Homa Kali sana.
Baada ya siku Mbili vidonda vya tumbo vililipuka yaani tarehe 22.
Niliwahi huugua vidonda na kupona miaka Saba iliyopita. Lakini vilirudi Mwaka 2022.
Nimejaribu kutumia Kila aina ya Dawa bila mafaniko.
1. Nimetumia Dawa za muhimbili.
2. Nimetumia Dawa za Tiba mbadala Muhimbili.
3. Nimetumia Kila aina ya Dawa hata kutoka Congo Malawi nk.
4. Nimetumia Dawa karibia 20 lakini tatizo Bado linanisumbua Mno.
1. Ninapata maumivu makali sana Pale ninaponyanyua kitu chenye zaidi ya kilo Kumi.
2. Nikijinyoosha usiku ninapatwa maumivu makali sana.
3. Ninashindwa na kazi ndogo sana kufagia chumbá, kufua nk.
Nimesitisha MATUMIZI ya vyakula kama Tangawizi, pilau, Dagaa,
Maharage, Juice, soda nk.
NIMEKUJA KWENU NDUGU ZANGU MPATE KUNISAIDIA.
NAOMBENI MSAADA WENU.
NATANGULIZA SHUKRANI.